nelly nely
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 665
- 229
1;Gereza la kunyongea watu[Isanga] lifungwe mara moja.
2;Makao makuu ya chama na serikali yahamishiwe Dar-es Salaam[maana maruhani yatakuwa na gheto kabisa pale]
3;Jengo la bunge libomolewe,likajengwe bagamoyo
4;Hospitali ya vichaa ihamishiwe chalinze!
5;.....................
2;Makao makuu ya chama na serikali yahamishiwe Dar-es Salaam[maana maruhani yatakuwa na gheto kabisa pale]
3;Jengo la bunge libomolewe,likajengwe bagamoyo
4;Hospitali ya vichaa ihamishiwe chalinze!
5;.....................