Ile siku yako ya ndoa. . . . .!!!!

Unakumbuka siku ulipoulizwa; Ewe. . . .,unakubali kumpokea . . . . .,awe mumeo/mkeo,katika shida na raha,magonjwa na afya na utamhesimu siku zote za uhai wako mpaka kifo kiwatenganishe?Kisha ukajibu ndiyo!!!!Unaikumbuka kauli hii?Je ina nguvu kwako leo kama siku ile?Je unapokumbuka unajisikiaje?
Mimi sijaingia kwenye ndoa ila kuna hii kali ......Acha hiyo Eiyer, kali ni hii ambayo wengi naona huwa hawaitimizi kabisaaaa, piga ua tupa kwenye mitaro haiwezekaniki... "POKEA PETE HII IWE ISHARA YA UAMINIFU WANGU KWAKO" hapo hakuna uaminifu wala nini make wengi wanakiuka hiko kiapo tena wengine bila aibu wanakiuka huku pete ikiwa mkononi c bora wawe wanaivua tuuuuu!!!!!! ndoa kazi kweli kweli
 
Mie nimeowa msikitini. Sijaulizwa hayo.

Lakin bado napuyanga na wife vizuri tu.
 
Nimependa ujumbe huu.ilikuwa tarehe 25.8 miaka 8 imepita.mungu nijalie nidumu kwenye ndoa.nashauri wanaochangia apa wawe waliofunga ndoa tu.maneno haya hauambiwi bila kuvishana pete ya uaminifu.utachangia nini kama sio umbea na wewe ujafunga ndoa?mtapeana kadi za love greetings,valentine,xmas&new year,idd mubarak,idd kuu,pasaka,birth day etc. Ujumbe huu huwezi kuupata kwenye siku hizi. Pindi ukifunga ndoa unabadirika mavazi,maongezi,ukaaji ata jamii ya watu wazma wanaanza kukushrikisha mambo ya kiutu uzima.mimi nilikuwa nikienda kijijini,vijana ninaowazd miaka 10,walikuwa wananiambia mimi ni mtoto<mfano una miaka 33 huna mke wakti kijana wa miaka ana mke 23 kwa 4 miaka>.huyu wa 23 atakuita wewe 32 mtoto kwani huna mtoto wala uzoefu wa kukaa na mtu<mke> ambaye hamjazaliwa wote.utabisha lakini ukweli huyu dogo ana experience ya juu kuhusu maisha ya mke na mme. Aliyeoa anataka atoke kwenye ndoa huku wale wasio na ndoa wanataka waingie...ili ni fumbo!Mungu nijalie niishi kwenye ndoa! Ili uitwe mwanamme lazma uishi na mke na uface challenges.nawasilisha
 
Back
Top Bottom