mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Wewe husikilizi au unatumia nini kusikiliza. Nini kirefu cha ukawa, na wanasema sana katiba ya wananchi ndio itatengenezwaVipi UKAWA mbona tena hawainadi katiba ya Warioba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe husikilizi au unatumia nini kusikiliza. Nini kirefu cha ukawa, na wanasema sana katiba ya wananchi ndio itatengenezwaVipi UKAWA mbona tena hawainadi katiba ya Warioba?
mahakama ya mafisadi ipo kweny ilani, kasome mithali 26:4-5Kwanini waongelee katiba mpya wakati inangoja muda ufike ipelekwe kwa wananchi waipigie kura. Unataka wayarudie yale yale yaliyokwisha-pitishwa na BMK.
CCM ina ilani ya uchaguzi na wagombea wanaongelea mambo yaliyopo kwenye ilani ya uchaguzi.
Mmmmh, wameoga wapi? Richmond ndio unasema ufisadi, haya ongeza epa, twiga, vitalu, meremeta, deepgreen, escrow, uda, operesheni tokomeza, yote hayo ni ukawa mkubwa, kitaeleweka tu, simba trust unaijua, utaijua tuNa ni kwanini ukawa wanaogopa agenda ya ufisadi kwenye kampeni zao?
Kwanini waongelee katiba mpya wakati inangoja muda ufike ipelekwe kwa wananchi waipigie kura. Unataka wayarudie yale yale yaliyokwisha-pitishwa na BMK.
CCM ina ilani ya uchaguzi na wagombea wanaongelea mambo yaliyopo kwenye ilani ya uchaguzi.
Vipi UKAWA mbona tena hawainadi katiba ya Warioba?
Wewe husikilizi au unatumia nini kusikiliza. Nini kirefu cha ukawa, na wanasema sana katiba ya wananchi ndio itatengenezwa
warioba mwenyewe tayari ameshatuvuruga, ila katiba mpya tunawaletea msiwe na hofu na tayari tumeshatoa tamko
Habarini za jioni wakubwa, kuna hili jambo linanitaiza, nilitegemea magufuli na samia suluhu kwenye kampeni wangenadi katiba mpya iliyopitishwa na bunge maalum la katiba kuwa serikali yao itahakikisha wanaipitisha na kuwa katiba ya Tanzania.
Wapo kimya kwenye hili, kumbe ile katiba ni rasimu ni chafu sana na ilipitishwa katika mazingira ya giza hadi wao wanaonea aibu. Nakumbuka bunge maalum alikuwamo Samia na Magufuli lakini wanaona aibu kuiongelea, CHADEMA,NCCR Mageuzi, CUF, NLD wanaongelea katiba mpya hawa kimya kulikonii
Walichakachua rasimu?
Wanaona haya haoooooooooooooooooooooo?
Na badoooooooo. CCM kujeni hapa mjibu hili
Habarini za jioni wakubwa, kuna hili jambo linanitaiza, nilitegemea magufuli na samia suluhu kwenye kampeni wangenadi katiba mpya iliyopitishwa na bunge maalum la katiba kuwa serikali yao itahakikisha wanaipitisha na kuwa katiba ya Tanzania.
Wapo kimya kwenye hili, kumbe ile katiba ni rasimu ni chafu sana na ilipitishwa katika mazingira ya giza hadi wao wanaonea aibu. Nakumbuka bunge maalum alikuwamo Samia na Magufuli lakini wanaona aibu kuiongelea, CHADEMA,NCCR Mageuzi, CUF, NLD wanaongelea katiba mpya hawa kimya kulikonii
Walichakachua rasimu?
Wanaona haya haoooooooooooooooooooooo?
Na badoooooooo. CCM kujeni hapa mjibu hili
Miaka yote mnakuja na ilani mwaka huu mmekuja na manyang'unya !
mahakama ya mafisadi ipo kweny ilani, kasome mithali 26:4-5
CCM huwa hatupigi porojo za kusadikika, kumbe hata ilani ya CCM haiujuwi?, jisomee:
- Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, CCM itazielekeza Serikali zake kuendeleza mapambano dhidi ya adui rushwa kwa nguvu zake zote na kuendelea kuziba mianya ya rushwa katika taasisi za umma; kuchukua hatua kali na za haraka kwa wale wote watakaobainika kuendeleza rushwa Serikalini na katika sekta binafsi; na kuimarisha vyombo na taasisi zinazohusika na kuzuia na kupambana na rushwa; ikiwa ni pamoja na kuanzisha Mahakama Maalumu kwa ajili ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
A joker!! hivi unaifahamu vizuri TZ au unajitoa ufahamu?? siku zote mlikuwa wapi kupambana na rushwa? rushwa imekuwa ni kama tabia ktk hili taifa mlikuwa wapi?