MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Ilani ya uchaguzi ya chama chochote ni ahadi kutoka kwa chama hicho kwenda kwa wapiga kura. Kama waswahili wanavyo sema, ahadi ni deni. Basi ni wajibu wetu kama raia tunaotaka kufanya maamuzi yaliyo elimika tuka angalia ni nini CCM ili ahidi na ni yapi kati ya hayo ili tekeleza. Naiweka hapa ilani kwa sababu kilichomo kwenye ilani ndicho kilicho ahidiwa. Sasa basi wakati tuki lalamikia mapungufu ya serikali pia ni wajibu kuangalia ni vitu gani wao waliviwekea kipaumbele. Let's make a fair judgment.
My advice: Kwa wote wanaoweza ni vyema kusoma ilani mbali mbali za vyama japo kwa muhtasari kabla ya kuwa pigia kura.
My advice: Kwa wote wanaoweza ni vyema kusoma ilani mbali mbali za vyama japo kwa muhtasari kabla ya kuwa pigia kura.