Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,365
- 7,606
Nimekuwa nikifuatilia utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi kwa muda mrefu. Toka nimeijua siasa mwaka 1994, nimeshuhudia wagombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi wakiahidi kutekeleza Ilani ya chama chao.
Kumekuwapo na masuala mbalimbali ambayo nimeona yakitekelezwa na viongozi hao baada ya kupokea kijiti cha uongozi. Masuala hayo Kama nilivyoonyesha hapo yaani Rada, Nyumba za Serikali, Samaki, Eskrow n.k yameitwa kwa jina moja, UFISADI.
Nami najiuliza, Je Ilani ya CCM ambayo mgombea wao ameahidi kuitekeleza ni UFISADI?
Kumekuwapo na masuala mbalimbali ambayo nimeona yakitekelezwa na viongozi hao baada ya kupokea kijiti cha uongozi. Masuala hayo Kama nilivyoonyesha hapo yaani Rada, Nyumba za Serikali, Samaki, Eskrow n.k yameitwa kwa jina moja, UFISADI.
Nami najiuliza, Je Ilani ya CCM ambayo mgombea wao ameahidi kuitekeleza ni UFISADI?