Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
wanatupenda wenye miili mikubwa kwa sababu tunachoka haraka.
nyie wenye miili midogo mnakamia sana,mawachosha na kuwazeesha.
Sijajua kama alikua anamaanisha hili ulisemalo.
Hata na mimi handsome nitakataliwa kwa sababu ya mwili wangu mdogo au?
Mwenzako hilo haoni ni tatizo,tatizo ni mwili kuwa mkubwa.
Kitendo cha nyie kushoboka na wakaka wenye mamiili makubwa,ni kinyume na haki za binadamu na kinawafanya wale wenye miili midogo wawe infirior kwenu.nawaomba muonyeshe mapenz ya dhati kwa wakaka wote bila kujali umbo la mtu.over
Moja wa member wa jf anayeongoza kwa malalamiko jf nzima.
Hata invisible anajua hili na anakubalina na mimi.