Kitendo cha nyie kushoboka na wakaka wenye mamiili makubwa,ni kinyume na haki za binadamu na kinawafanya wale wenye miili midogo wawe infirior kwenu.nawaomba muonyeshe mapenz ya dhati kwa wakaka wote bila kujali umbo la mtu.over
Ha ha ha, umenichekesha sana! Sometimes bwana inabidi, we mdada kibonge alopanda hewani akiwa na mkaka mfupi na mwembamba si ndo mwanzo wa kuulizwa 'mdogo wako anaitwa nani' kumbe ni mpenzi wake, lol
Kaka acha jazba ukubwa wa mwili siyo kupendwa bali ukubwa wa dozi unayotoa.kwa taarifa yako mademu wanamind kinoma mwanamme mwenye mwili ya kawaida coz dozi tunazo toa zimeshiba
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
amazon hakikisha hata kama ana umbo dogo basi awe mrefu lol.Walimweusi umenigusa sana...Kama umeniona vileeee..! Sasa tatizo langu japokuwa Kibonge sipendi hao wenye miili mikubwa kama mimi...Nadhani nitakuja kuishia kuwa naulizwa hilo swali la mdogo wako anaitwa nani? Hahahaaaa...
mkuu,sasa kama hata ukimtongoza anakukataa coz of your umbo,hiyo dozi utaitolea kwa nani?afu cha ajabu hata wadada wenye maumbo madogo nao wanashobokea hao wakaka wenye maumbo makubwa.
Kitendo cha nyie kushoboka na wakaka wenye mamiili makubwa,ni kinyume na haki za binadamu na kinawafanya wale wenye miili midogo wawe infirior kwenu.nawaomba muonyeshe mapenz ya dhati kwa wakaka wote bila kujali umbo la mtu.over