Wakuu,
Nachukua break kidogo kuchangia hapa.Mitihani yangu ya mwisho imenibana sana,Inanitoa Jasho.Nimejaribu kutenga muda kidogo wa kuchungulia humu ,Jukwaa la siasa,Uchumi,jukwaa la kimataifa nk. but naona shughuli inazidi kuwa nzito
Nikipata muda kama dakika 20 nitakua msomaji tu humu na kuchangia nitakapoweza.
Pamoja always!
Akimaliza matatizo yake..Hivi kumbe kufanya mitaihani ni matatizo eehh!Ukimaliza matatizo yako, plz rudi kwa jaziba lakini isiwe kama ya JK na wazee wa D'Salaam
Ukimaliza matatizo yako, plz rudi kwa jaziba lakini isiwe kama ya JK na wazee wa D'Salaam
Kila la Kheri Mazee
hongera kwa kumaliza hyo mitihaniAsante Mkuu,Pepa za Uchumi zilinitoa jasho.Hiyo nimemaliza Unajua mziki wake mkuu....lol, Namalizia kozi nyingine ya Internationa relations and Diplomacy
hongera kwa kumaliza hyo mitihani
Hatari Sana haya mambo!!!Nawaza mengi sana