Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

Ninavyojua mimi ni kwamba walimu wa nchi hii hawana umoja na msimamo.

Nadhani walimu walikuwa na nguvu sana enzi za Peter Mashanga yule kiongozi wa walimu aliyeitwa Ikulu ya mwingi na kumgomea Rais Mwinyi kunywa chai wala Juisi enzi hizo
 
Walumu gomeni daini haki zenu hata maandiko yasema woga ni dhambi kama walijua mgomo wa walimu una madhara kwa taifa kwa nini wastekeleze madai yao? Mbona wameshindwa kufikia mwafaka na CWT? Walimu wagome,serikali iwaachishe kazi. Kuna haja gani kufanya kazi huku huna amani?

Mgaya,Mukoba usiogope dai haki pamja na wale wengi walio nyuma yako(WALIMU) Achana na wasaliti. Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani, labda wapo wanaohofia vyeti vyao, vihiyo nk. Heri kula mboga ukiwa na amani kuliko nyama pasipo kuwa na amani. Ile nguvu moja sauti moja ya walimu ikko wapi?

CWT chombo na chama huru tena yenye wanachama wengi TUCTA isimamie HAKI kama inavyosimamia wajibu!
 
Siku zote hakuna mgomo halali dhidi ya serikali ila wakiamua kugoma itakuwa hakuna kuzuiwa kihalali dhidi ya serikali. Only time will tell
 
walimu gomeni tu jk ndo kawaida yake kukimbilia mahakamani na kuwatisha watu ila hana msimamo j3 msiende kazini ili tuone watafanya nini na mahakama yao ya ccm maana kila siku ni kusema lipo mahakamani na mahakama haitoi hukumu ya haki hata siku 1 kwa watz.
 
Walimu wakifanikiwa kugoma,
CCM tunaiondoa madarakani,
kama kumwondoa mlevi,
Walimu kwa namna nyingi,
ndiyo egemeo kubwa la CCM,
katika kueneza propaganda,
rushwa na hata wizi wa kura,
Walimu ndiyo watoa ripoti,
ya watu waipingao CCM,
na kuimarisha mageuzi huko vijijini,
kwa makatibu kata na tarafa,
na list kufikishwa PoliCCM,
ili polisi wawaandame kwa vurungu na,
ikiwezekana wawaburuze mahakmani,
kwa makosa ya kutunga.
 
Ahaaa ndio maana JK aliteua majaji wengi ili waje kumlinda. Kweli Tundu lisu hakukosea bungeni
 
chanzo cha haya yoooote ni ufisadi! na wanasiasa kujiona ndo wenye haki ya kufaidi lasilimali ya za taifa!. Watumishi wanapodai mishahara kuongezwa,selikali ikaja na jibu la kutokuwa na fedha, kamwe haitaaminiwa!. Haiwezi kuaminiwa kwasababu ya ubadhilifu unaofanywa na wahusika kuachwa bila kuguswa! miigomo hii ni product ya ufisadi, tutarajie kuona migomo mingi.
 
Hii single ya walimu kugoma,
haijawahi ku hit kila siku inaishia studio tu.
 
Kwenye suala la walimu Mara nyingi nakuwa mzito sana kuwaamini kwani wengi wao wanavyeti vya magumashi kwahiyo ni waoga sana
 
Serikali inatia aibu sana sana..yaaani imeshindwa ku handle mambo kabisa
 
Serikali ya mwagwepande na kichaka cha mahakama. J3 ful kulala mpaka kieleweke. Ole wake mkoba akubali kwenda ikulu kunywa juice na wafisadi na ajira yake itakuwa mwisho. Woga ni dhambi ktk kudai haki. Tusonge mbele walimu ndio mabadiliko. Walimu kenya wamegoma wanadai ongezeko la mshahara 300%. Je sisi. Mapinduzi daima.
 
what is mahakama by the way? serikali ni wasanii sana mimi nawaunga mkono waanzaishe kunji lililoenda shule ili serikali ishike adabu
 
Kwani tangu lini selikali iliwahi kuwaambia wanaotaka kugoma go a head? Kama waalimu wanasubiri selikali iwaambie mgomo wao ni halali hivo basi gomeni watakuwa nimahayawani

mahakama cku hizi limekuwa chaka linalotumika kuzuia haki za wanyonge....ikumbukwe mahakama haitalipa madai ya walimu...wala pingamizi za mahakama hazitaleta madawati, vitabu shuleni maabara wala kulipa madeni ya walimu...
 
Back
Top Bottom