Ikulu yatoa sababu ya Rais kutohudhuria sherehe ya mabalozi

Hilo nalo mwaliona kuubwa! Mabalozi kiitifaki saizi yao ni huyu Waziri wetu wa Mambo ya Nje. Kumbukeni pia URAIS ni TAASISI kubwa zaidi ya Magufuli wetu pekee
mwaliko huu ulikuwa ni wa Rais tena ulifanyika nyumbani kwake ikulu, yeye kuwepo ilikuwa ni bora sana. Halafu mara nyingi rais akiwa nje ya mkoa tunaambiwa kuwa ameenda wapi sasa safari gani hatukuambiwa au waandishi wa habari hawakuwepo? au mpaka iwe safari ya kutumbua majipu?.
 
mwaliko huu ulikuwa ni wa Rais tena ulifanyika nyumbani kwake ikulu, yeye kuwepo ilikuwa ni bora sana. Halafu mara nyingi rais akiwa nje ya mkoa tunaambiwa kuwa ameenda wapi sasa safari gani hatukuambiwa au waandishi wa habari hawakuwepo? au mpaka iwe safari ya kutumbua majipu?.
Kwani haiwezekani Mh. Rais kusafiri nje ya mkoa kwa ziara binafsi mkuu!?
 
Kwani haiwezekani Mh. Rais kusafiri nje ya mkoa kwa ziara binafsi mkuu!?
kwa awamu hii kila kitu waandishi wa habari, siyo hivyo tu hata mitandao ya kijamii wangesema tumeona msafara wa raisi unaelekea uwanja wa ndege au nje ya mji
 
kwa awamu hii kila kitu waandishi wa habari, siyo hivyo tu hata mitandao ya kijamii wangesema tumeona msafara wa raisi unaelekea uwanja wa ndege au nje ya mji
Naomba nikudokeze tu Kama ulikuwa hujui..Mh Rais anaweza kusafiri safari binafsi bila Wananchi kujua na muda mwingine huwa zinatumiwa "Incognito motorcade". Sio kila msafara wa Rais huwa unaonekana kwa Wananchi.
 
Naomba nikudokeze tu Kama ulikuwa hujui..Mh Rais anaweza kusafiri safari binafsi bila Wananchi kujua na muda mwingine huwa zinatumiwa "Incognito motorcade". Sio kila msafara wa Rais huwa unaonekana kwa Wananchi.
siyo kipindi hiki
 
The emperor has no clothes, but yet some will say his suit is magnificent.

tanzaniapolitic2-jpg.322419


Toto Tundu, "mnasema kavaa nguo, mbona miye naona kofia tu?"​
 
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa mabalozi waliopo nchini, ambaye pia ni Balozi wa Zimbabwe, Edzai Chimonyo, alisema mgogoro wa Zanzibar unaweza kumalizwa kwa mazungumzo ya pamoja visiwani humo.

Naona msimamo wa TZ unatofautiana na wa nchi ZOTE duniani. Rais anasema kurudia uchaguzi ndiyo suluhisho/nchi zingine zote zilizo na mabalozi TZ (incl. UN) zinasema mazungumzo ndiyo suluhisho. Kuna hatari ya nchi yetu kukawekwa kwenye kundi la pariah states kama North Korea ..
 
Hata kama una akiri kiasi gani kusalimiana na watu ni lazima,hii hali naifananisha na familia moja iliyofunga safari kwenda kutembelea familia nyingine na kuwapongeza kwa kijana wao kwa kufaulu mtihani ,hawa wageni pmoja na kuwa na shauku ya kumuona kijana na kumpongeza waligonga mwamba kwani kijana baada ya kufika sebleni wala hata shikamoo hakuitoa badala yake alikuwa bize na simu minongono ilipozidi mzazi Wa huyo kijana akajitokeza na kusema kwan salaam kitu gani mwanangu yuko bize anajiandaa na mtihani mwingine.Utetezi naufananisha na ule Wa ikulu
Waziri wetu wa Fedha na Mipango kasema mabakuli sasa basi. Tufanyekazi, tuzalishe, tuuze, tulipe kodi stahiki kilamtu
 
Kwangu naona ni sawa tuu kama ndg. Rais alikuwa anashughulikia kero za watanzania nje ya dar kuliko kukaa kunywa chai na kujikosha kwa wageni. Ni ujumbe hata kwa hao wageni kuwa wao ni muhimu ila muhimu zaidi kwa mwenye kaya ni watanzania waliompa kazi
Haswaaaaa
 
mwaliko huu ulikuwa ni wa Rais tena ulifanyika nyumbani kwake ikulu, yeye kuwepo ilikuwa ni bora sana. Halafu mara nyingi rais akiwa nje ya mkoa tunaambiwa kuwa ameenda wapi sasa safari gani hatukuambiwa au waandishi wa habari hawakuwepo? au mpaka iwe safari ya kutumbua majipu?.
Labda alienda kuchezesha matunguli... Si unajua ukienda kwa waganga wa jadi hauagi...
 
Ukaribishe wageni kwako tena chumbani kwako harafu uondoke, eti nje ya dsm tena bila ufafanuzi alikuwa wapi kufanya nini.. Comedy
 
Bila ya hao mabalozi hilo bakuli lenu mtalitembezea wapi?wacha kujijkakamua ndugu bado tanzania inawahitaji sana hao wafadhili
Endelea kuamini kwamba "Tunawahitaji sana kuliko wao wanavyotuhitaji".
Mahusiano yanadumishwa na vitu vingi sana na sio hiyo "sherry party".
Nimeona pia sehemu wamemnukuu Prof Lipumba kuwa "mabalozi" wameomba miadi na Rais wamekwama, na sasa wameshindwa kuonana naye tena kwenye sherry party".
Maana yake kauli ya Lipumba naweza kusema mabalozi wanamtaka rais wetu kuliko sisi tunavyowahitaji au kuna mambo wanayotaka kusikia kutoka kwake mwenyewe, hawawaamini mabalozi wetu na Mawaziri wetu kwa kauli za serikali!!!
Huo ni upuuzi kama hawawaheshimu wakwetu.
 
Jamani tusaidiane hv alipowaitisha waje pale mkulu akaondoka je aliwakimbia wao au alikimbia kilugha chao?

Aiem ze politishian,hiiiii zei will see meeee!! Wangemuelewa!
 
Yaan raisi ameona sherehe ya ccm ni muhimu kuliko kukutana na mabalozi. Amefanya makusudi tu. Maana ratiba alikuwa anaijua sana. Angeweza kuhairisha ili akutane Nao Siku nyingine. Ile ilikuwa ni Siku ya rais kukutana na mabalozi wala sio waziri wa mambo ya nje kukutana na mabalozi.
 
Back
Top Bottom