Wadau,
Hiyo ndiyo nembo ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ambayo imepitishwa rasmi na Kamati ya Taifa ya Madhimisho hayo chini ya Katibu Mkuu Kiongozi..
Haina mashiko kwa kupoteza pesa za walipa kodi kufanya sherehe ya nchi ambayo haijawahi kupata uhuru kwani iliyopata uhuru ni
Tanganyika na siyo story za Tanzania bara. Maadui wa Tanganyika maradhi, ujinga, na umasikini bado yapo na tumeongezewa na ufisadi na janga la umeme still tunasherehekea what for?
Wadau,
Hiyo ndiyo nembo ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ambayo imepitishwa rasmi na Kamati ya Taifa ya Madhimisho hayo chini ya Katibu Mkuu Kiongozi..
NA HII BENDERA KWENYENEMBO INA MIAKA MINGAPI MPAKA 9/12/2011! NAOMBA MWENYE CV YA LUHANJO AIWEKE HAPA JF TUONE SHULE ALIZOSOMA ZINAITWAJE NISIJE KUPELEKA MTOTO WANGU HUKO.HIYO BENDERA KWENYE NEMBO NA JINA LA TANZANIA BARA WAPI NA WAPI HAYA SALVA NJOO UTOE UFAFANUZI.MSITUKUMBSHE MBALI JAMANI TANGANYIKA YETU TUTAITAFUTA TU MKISHA TUNGA SHERIA YENU YA URAIA WA NCHI MBILIMTAKWENZA NA TANZANIA BARA YENU SISI TUTARUDISHA TANGANYIKA YETU.
wadau,
hiyo ndiyo nembo ya miaka 50 ya uhuru wa tanganyika ambayo imepitishwa rasmi na kamati ya taifa ya madhimisho hayo chini ya katibu mkuu kiongozi..