Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi toleo la jana jumapili,inadaiwa kuwa baadhi ya maafisa wa ikulu wanahusika katika
sakata la kutorosha twiga wanne na nyara nyingine za serikali hapo mwishoni mwa mwaka jana.Inasemekana haiwezekani
ndege kubwa tena ya kijeshi iingie nchini kinyemela bila ikulu kufahamu.Pia ilitegemewa idara nyeti za serikali kama usalama
wa Taifa na wizara ya mambo ya nchi za nje ingeweza kutolea ufafanuzi juu ya sakata la ndege ya jeshi la QATAR kuingia nchini na kutorosha mali ya taifa.KWELI TANZANIA NI SHAMBA LA BIBI.sijui wadau mnasemaje kwenye hili.
sakata la kutorosha twiga wanne na nyara nyingine za serikali hapo mwishoni mwa mwaka jana.Inasemekana haiwezekani
ndege kubwa tena ya kijeshi iingie nchini kinyemela bila ikulu kufahamu.Pia ilitegemewa idara nyeti za serikali kama usalama
wa Taifa na wizara ya mambo ya nchi za nje ingeweza kutolea ufafanuzi juu ya sakata la ndege ya jeshi la QATAR kuingia nchini na kutorosha mali ya taifa.KWELI TANZANIA NI SHAMBA LA BIBI.sijui wadau mnasemaje kwenye hili.