Ikulu yachachamaa habari ya Jk kugeuzwa mradi

Sikufahamu kuwa walimuweka hadi kwenye VIDEO.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=MgMS_0sLlb0"]YouTube- ZINDUKA NA MALERIA TANZANIA-kingwendu ,JAY D,MR KIKWETE-[/ame]
 
Dah watu wamesha kula mihela hatuoni tena kampeni mbu bado wanatung'ata kama kawa.
Pesa wajanja wamesha zila viingilio vilivyo tozwa mlangoni wajanja wamesha gawana, Ikulu ya Rais imesha tulia nayo hakuna mrejesho kufuatilia kama kampeni ile imezaa matunda au lah.
 
Dah watu wamesha kula mihela hatuoni tena kampeni mbu bado wanatung'ata kama kawa.
Pesa wajanja wamesha zila viingilio vilivyo tozwa mlangoni wajanja wamesha gawana, Ikulu ya Rais imesha tulia nayo hakuna mrejesho kufuatilia kama kampeni ile imezaa matunda au lah.

Hapa hakuna cha kampaini mzee alidanganya wajanja wakajisavia
 
Mkuu wa nchi anapotumika kutangaza tamasha biashara ya wahuni flani!!

By the way,iam interested to see the campaign document, the activities, outcomes and expected impact.
This seems to be a project by itself. au nakosea wakuu? I mean, sio tamasha moja na Tshirts kadhaa tu.........I want to see the set of activities they are planning to do.

Pia nataka kuona maelezo ya tatizo----problem statement......na uthibitisho wa tatizo.......justification for deciding to use campaign method.
 
Mkuu wa nchi anapotumika kutangaza tamasha biashara ya wahuni flani!!

By the way,iam interested to see the campaign document, the activities, outcomes and expected impact.
This seems to be a project by itself. au nakosea wakuu? I mean, sio tamasha moja na Tshirts kadhaa tu.........I want to see the set of activities they are planning to do.

Pia nataka kuona maelezo ya tatizo----problem statement......na uthibitisho wa tatizo.......justification for deciding to use campaign method.

Kwa mtu kama Ruge na Kusaga, sidhani kama hayo utayapata.

Hawa jamaa ni waandaaji matamasha. Hayo unaongelea wewe ni ya juu mno kwao. Inabidi watu na shule yao wakae na kujadili hii kitu na kuangalia nini itakuwa matokeo. Hawa jamaa walikaa na kujadili ni kiasi gani kitaingia kwenye account zao. Outcome sijui impact au productivity, hiyo utajibiwa kwa Kiswahili cha siku hizi yaani UTAJIJU......
 
Kwa mtu kama Ruge na Kusaga, sidhani kama hayo utayapata.

Hawa jamaa ni waandaaji matamasha. Hayo unaongelea wewe ni ya juu mno kwao. Inabidi watu na shule yao wakae na kujadili hii kitu na kuangalia nini itakuwa matokeo. Hawa jamaa walikaa na kujadili ni kiasi gani kitaingia kwenye account zao. Outcome sijui impact au productivity, hiyo utajibiwa kwa Kiswahili cha siku hizi yaani UTAJIJU......
Mkuu kama hivi ndivyo, basi naanza kuchoka.
Ina maana campaign ilikuwa ya siku moja?
Au mimi nina shida ya kuelewa? sidhani, Ikulu ndo wanashida ya uelewa, hawaelewwi kuwa sisi tunaelewa kuliko wao...........
 
Hapa hakuna cha kampaini mzee alidanganya wajanja wakajisavia

Dah ndo hapo yaani Miafrika bana sijui lini tutajiongoza kimaendeleo. Hapo hapo hao walioandaa wanasahau kuwa kuna watoto wao wajomba zao mama zao wanang'atwa na mbu wanaugua maralia badala ya kupigania wao tamaa mbele.
 
Mkuu kama hivi ndivyo, basi naanza kuchoka.
Ina maana campaign ilikuwa ya siku moja?
...........

Hapa mkuu utaumiza kichwa watu walitoa sh.3000/= mlangoni wakajua watapewa kifuta jasho angalau chandarua/net lakini walitoka patupu walio ambulia vinet ni wale wageni wa V.I.P tu wamatumbi wakabaki wanashangaa shangaa wanajiuliza wamelipishwa kwa ajili ya kumuona JK? hii ndo bongo bana watu wamesha tengeneza fweza tayari likija la NO MORE AIDS wakuu naombeni plan na mm nitengeneze mkwanja maana ni janga la kitaifa hilo nalo namwalika JK basi biashara imekwisha Iringa huko watu wanaendeleza libeneke kavu kavu na wanakufa mm nipo town watajiju.
 
Mara nyingi hapa kwetu campaign huwa ni za siku moja.
Hata wakuu wa mikoa, wilaya, raisi na wengineo wanapokwenda kufunguwa kitu sehemu kama maji, hospital n.k nk. wala huwa hawafuatilii maendelo yake.
Raisi anafunguwa bomba la maji leo sherehe kubwaaaaa baada ya masaa 3 ukienda hakuna maji na mabomba yotee yameng'olewa na wala hakumbuki kama alifunguwa afuatilie matokeo na faida zake.
Sijui tutafika lini, watanzania wamekosa UZALENDO, kila kitu ni kuibaaaaa, hasa viongozi jamani inachosha.
IKULU wanajifanya wanashangaa wanashangaa nini na kila siku ofisi zimefungwa watu wako SAFARINI. MAKUBWAAAA
 
Back
Top Bottom