Mzozo wa Mizozo
JF-Expert Member
- May 26, 2008
- 426
- 12
Jamani,hapa JK tusimuonee.Haya magari wamepewa buree toka uarabuni.Tena hawa waarabu walileta mpaka mtaalamu wa haya magari toka Ujerumani kuja kuyafanyia service kabla hayaanza kutumiwa.Hata lile benzi alilotumia Mkapa wakati anamaliza muda wake nalo lilikuwa la chee toka hukohuko.
Asa gharama ambazo zinaonekana kuwa associated na hayo magari ni za nini kama wamepewa bure? ama za mafuta?