Wazo la baba wa taifa, hayati Nyerere kuwa ikulu ni mahali patakatifu si kweli. Ni nadharia potofu inayodhihirishwa na hali halisi kuhusiana na ukweli kuwa sehemu hiyo ni makazi ya rais na si sehemu ya ibada. Tuachane na dhana hiyo tukijua kwamba ikulu itabaki kuwa ikulu, na kamwe haitakuwa mahali patakatifu labda pageuzwe kuwa sehemu ya ibada (msikiti au kanisa) jambo ambalo si rahisi kutokea. Hivyo, usitegemee mambo matakatifu kutokea ikulu, kwa kudhania eti ikulu ni mahali patakatifu, you'll be highly disappointed! Tuwaache watakatifu wabaki na utakatifu wao kwa mujibu wa imani zao, na ikulu ibaki kama ilivyo - just a State House.
Utakatifu aliousema Baba wa Taifa ni kuhusu uaminifu katika kutumia madaraka ya Ikulu katika kuwajali watu wengine na sio utakatifu unaotokana na kuwepo kwa nyumba za ibada eneo hilo. Alikuwa anonyesha tabia ambayo mtu anayetaka kuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania anatakiwa kuwa nazo.
ana mke au anamalaya si bora ya slaa na unaye mtetea si balaa mtupu kila wilaya anamwanga upupu huwaoni hao wakuu wa wilaya?Bora ya kikwete ana mke kuliko mchumba wa slaa kujifungulia ikulu,
Nyerere alituonya sana juu ya Lowassa, na Malecela, na Kikwete akamwambia asubiri akue!hata kama si patakatifu lakini lowasa hata kaa aishi pale maisha yake, mmasai mwizi sana yule, nyerere alishatuonya, kama alikuwa raisi wa monduli akaiba hivyo akiwa rais wa tz si atatufi.... yule?
Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere alipata kusema, kwamba " Ikulu ni sehemu patakatifu" Yeyote anayekimbilia Ikulu muogopeni kama ukoma. Rais wetu, na genge lake la majambazi ambao hawalijali taifa wamepageuza Ikulu kuwa sehemu ya walanguzi na wafanya biashara chafu. Hata Majasusi wakubwa kama wa "symbion Paul na Joe wilson" ambao wasingekaribishwa nchi yoyote wamepata shamba la baba la Kuchuma.
Wafanyabiashara wachafu wote nchini wamepita Ikulu na Kubarikiwa na Rais, Waarabu wanaowauwa Wananchi loliondo wamepitia ikulu. Wanaoiba Migodini Wamepata Mibaraka Ya Kikwete. Ikulu yetu imekuwa sehemu chafu na si patakatifu TENA. Rais Kikwete Kwa Heshima ya Taifa la Tanzania Tunaomba ujiuzulu. Kwanza wewe siyo Rais. Wewe ni Mtalii anayezunguka Dunia. Tuachie nchi yetu tuisafishe. Ondoka, Fanya Ustaarabu Kama alivyofanya Rostam Aziz. Watanzania hawakutaki tena. Usiposikia basi aibu utakayoipata itakuwa kubwa Zaidi. Watanzania wamechoka
Ni lini Ikulu imekosa kuwa genge la Majambazi?.Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere alipata kusema, kwamba " Ikulu ni sehemu patakatifu" Yeyote anayekimbilia Ikulu muogopeni kama ukoma. Rais wetu, na genge lake la majambazi ambao hawalijali taifa wamepageuza Ikulu kuwa sehemu ya walanguzi na wafanya biashara chafu. Hata Majasusi wakubwa kama wa "symbion Paul na Joe wilson" ambao wasingekaribishwa nchi yoyote wamepata shamba la baba la Kuchuma.
Wafanyabiashara wachafu wote nchini wamepita Ikulu na Kubarikiwa na Rais, Waarabu wanaowauwa Wananchi loliondo wamepitia ikulu. Wanaoiba Migodini Wamepata Mibaraka Ya Kikwete. Ikulu yetu imekuwa sehemu chafu na si patakatifu TENA. Rais Kikwete Kwa Heshima ya Taifa la Tanzania Tunaomba ujiuzulu. Kwanza wewe siyo Rais. Wewe ni Mtalii anayezunguka Dunia. Tuachie nchi yetu tuisafishe. Ondoka, Fanya Ustaarabu Kama alivyofanya Rostam Aziz. Watanzania hawakutaki tena. Usiposikia basi aibu utakayoipata itakuwa kubwa Zaidi. Watanzania wamechoka