kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Huyu jamaa anaweza kuwa katumwa kucheck repacation ya majibu endapo Ikulu itamjibu Lema.
ni repercusion si repacation!
Huyu jamaa anaweza kuwa katumwa kucheck repacation ya majibu endapo Ikulu itamjibu Lema.
Hivi kuna haja yoyote ya kumjibu Lema, yule si naye ni kama amechanganyikiwa? Nadhani inatokana na ukweli kwamba atakosa posho za vikao vya bunge ndiyo maana anaamua kutjipatia posho hizo kupitia majukwaa.
Wee Kenge, rudi majini tu maana hata kuandika Kiswahili kinakushinda! Pili, kama majukwaa yanalipa posho basi Kichwa cha nazi na Nepi watakuwa matajiri sana!Hivi kuna haja yoyote ya kumjibu Lema, yule si naye ni kama amechanganyikiwa? Nadhani inatokana na ukweli kwamba atakosa posho za vikao vya bunge ndiyo maana anaamua kutjipatia posho hizo kupitia majukwaa.
Wee Jogoo, lugha yako si kuwika tu wewe? Tangu lini ukajua Kiingereza? Ngoja tukufundishe lugha ya Malkia, hilo neno halipo kabisa labda kwenye lugha za ndege, neno sahihi hapo ni Repercussion Kama hujui kitu usijitie kimbelembele kukosoa. Pambaf!ni repercusion si repacation!