Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Hivi kuna haja yoyote ya kumjibu Lema, yule si naye ni kama amechanganyikiwa? Nadhani inatokana na ukweli kwamba atakosa posho za vikao vya bunge ndiyo maana anaamua kutjipatia posho hizo kupitia majukwaa.
Salva in action. Hongera naona umeanza kujibu hoja humu humu JF...