Yaani rais wa Tz anateuliwa na wazungu?
Je atakuwa rais wa wananchi gani sasa?
kutokana na kauli yake aliyoitoa na hofu ya watanzania kuendelea kutumiwa na wasio itakia maendeleo nchi hii, ikulu imeamua kufanya uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na safari, mawasiliano yake kwa njia za email na simu, tweeter, facebook n.k, vile kuangalia program anazo zisimamia za kusomesha watoto katika maeneo ya mradi na kuchunguza funders wake.
Kingine kuangalia social network na ulimwengu wa kiintelegensia wa magharibi, endapo ataonekana na hatia adhabu ya uhaini itapambana nae hii ni kutokana na kauli yake aliyo isema marekani ina mataka awe rais wa 2015, swala la moja kwa moja ni kwa maslahi ya nani?? Na kwanini??? Na kwanini aseme sasa hivi katika kipindi hiki??? Nani anampa ujasiri huo?? Na ana immunity gani?? Handler wake ni nani?? Na je uwaziri alipewa kwa maslahi ya nani??? Au ndio ana hujumu viwanda vya ndani kwa sasa ili kutimiza ndoto ya urais ???
Naomba kuwasilisha nikiwa nasaka mengine yanayojiri.
Kutokana na kauli yake aliyoitoa na hofu ya watanzania kuendelea kutumiwa na wasio itakia maendeleo nchi hii, Ikulu imeamua kufanya uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na safari, mawasiliano yake kwa njia za email na simu, tweeter, facebook n.k, vile kuangalia program anazo zisimamia za kusomesha watoto katika maeneo ya mradi na kuchunguza funders wake.
Kingine kuangalia social network na ulimwengu wa kiintelegensia wa magharibi, endapo ataonekana na hatia adhabu ya uhaini itapambana nae hii ni kutokana na kauli yake aliyo isema Marekani ina mataka awe rais wa 2015, swala la moja kwa moja ni kwa maslahi ya nani?? na kwanini??? na kwanini aseme sasa hivi katika kipindi hiki??? Nani anampa ujasiri huo?? na ana immunity gani?? handler wake ni nani?? na je uwaziri alipewa kwa maslahi ya nani??? au ndio ana hujumu viwanda vya ndani kwa sasa ili kutimiza ndoto ya urais ???
naomba kuwasilisha nikiwa nasaka mengine yanayojiri.
muwongo muwongo muwongo
niko na gazeti hapaa sababu ya kuchunguzwa ni kuhisiwa kuwa na uraia wa marekani
nasema mwongo mwongo ingawa anawatapeliwi wanakijiji wake hana adabu mshenzi yule
yaaani kanza jia lake tu Lazaro halafu NYARANDU...yaani hilo linafanana na katibu tarafa....atupishe hapa
Na juu ya mambo yote kabisa, ni kuwa kila mtu anatakiwa kufanya kazi kwa bidii kutafuta maendeleo yake. Hilo tunalisahau. We are being trapped by these cheap politics left and right.CCM wanajaribu kupandikiza issue nyingine ya Nyalandu ili kuwasahaulisha watu mambo ya msingi kama ugumu wa maisha, mfumuko wa bei, mafuta, umeme nk.
MSIMLAUMU jamani, hiyo party kwani ilikuwa ya chai pekee?....naamini kulikuwa na vileo!
Hizi safari za jamaa huyu ni lazima zichunguzwe, maana amekuwa na mahusiano ya ajabu sana na hawa wageni. Katika eneo ninapopatia mkate mimi amekuwa akipita na makundi tofauti tofauti ya wageni weupe wa Amerika, na hawezi kumaliza mwezi bila kupita nao!
Inavosemekana yeye ni mlokole halewi, kwa hiyo hilo la kulewa halipo , espeshali kwa raisi wa UKWATA!