Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Kutokana na kauli yake aliyoitoa na hofu ya watanzania kuendelea kutumiwa na wasio itakia maendeleo nchi hii, Ikulu imeamua kufanya uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na safari, mawasiliano yake kwa njia za email na simu, tweeter, facebook n.k, vile kuangalia program anazo zisimamia za kusomesha watoto katika maeneo ya mradi na kuchunguza funders wake.
Kingine kuangalia social network na ulimwengu wa kiintelegensia wa magharibi, endapo ataonekana na hatia adhabu ya uhaini itapambana nae hii ni kutokana na kauli yake aliyo isema Marekani ina mataka awe rais wa 2015, swala la moja kwa moja ni kwa maslahi ya nani?? na kwanini??? na kwanini aseme sasa hivi katika kipindi hiki??? Nani anampa ujasiri huo?? na ana immunity gani?? handler wake ni nani?? na je uwaziri alipewa kwa maslahi ya nani??? au ndio ana hujumu viwanda vya ndani kwa sasa ili kutimiza ndoto ya urais ???
naomba kuwasilisha nikiwa nasaka mengine yanayojiri.
Kingine kuangalia social network na ulimwengu wa kiintelegensia wa magharibi, endapo ataonekana na hatia adhabu ya uhaini itapambana nae hii ni kutokana na kauli yake aliyo isema Marekani ina mataka awe rais wa 2015, swala la moja kwa moja ni kwa maslahi ya nani?? na kwanini??? na kwanini aseme sasa hivi katika kipindi hiki??? Nani anampa ujasiri huo?? na ana immunity gani?? handler wake ni nani?? na je uwaziri alipewa kwa maslahi ya nani??? au ndio ana hujumu viwanda vya ndani kwa sasa ili kutimiza ndoto ya urais ???
naomba kuwasilisha nikiwa nasaka mengine yanayojiri.