Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimepata habari kutoka vyanzo vya kuaminika kuwa DPP alikuwa awafikishe Watuhumiwa wakubwa wa Ufisadi; wawili walikuwa Mawaziri waandamizi wa Awamu ya II na Katibu Mkuu 1 ambaye amekuwa Wizara moja nyeti kwa muda mrefu hadi sasa.
Habari zinapasha kuwa walishatinga kwenye Jengo la Mahakama lakini haijulikani ni namna gani habari zilimfikia Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Katibu Mkuu Kiongozi alipothibitishiwa kuwa ni kweli Watuhumiwa hao wako aliwang'akia PCCB "Mnataka Nchii hii istawalike?" naye akawasiliana na Mkuu wa nchi aliyekuwa ughaibuni ambaye aliagiza kuwa wasisomewe mashitaka!
Habari zinapasha kuwa ushahidi dhidi ya Watuhumiwa hao uko wazi kabisa ingawa habari zinasema kuwa hata Rais aliyepita wa awamu ya II angejikuta yuko implicated kwenye tuhuma hizo za Ufisadi.
Habari nyingine zinapasha kuwa Serikali mwakani 2009 itaustua umma wa WaTz kwa kumfikisha Mahakamani Kigogo mmoja naMwanamtandao mkubwa ikiwa ni mkakati wa kujiandaa na uchaguzi wa 2010 ili kuzima jaribio la kumfanya JK aenguliwe katika kinyang'anyiro cha Urais katika CCM.
Habari zinapasha kuwa walishatinga kwenye Jengo la Mahakama lakini haijulikani ni namna gani habari zilimfikia Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Katibu Mkuu Kiongozi alipothibitishiwa kuwa ni kweli Watuhumiwa hao wako aliwang'akia PCCB "Mnataka Nchii hii istawalike?" naye akawasiliana na Mkuu wa nchi aliyekuwa ughaibuni ambaye aliagiza kuwa wasisomewe mashitaka!
Habari zinapasha kuwa ushahidi dhidi ya Watuhumiwa hao uko wazi kabisa ingawa habari zinasema kuwa hata Rais aliyepita wa awamu ya II angejikuta yuko implicated kwenye tuhuma hizo za Ufisadi.
Habari nyingine zinapasha kuwa Serikali mwakani 2009 itaustua umma wa WaTz kwa kumfikisha Mahakamani Kigogo mmoja naMwanamtandao mkubwa ikiwa ni mkakati wa kujiandaa na uchaguzi wa 2010 ili kuzima jaribio la kumfanya JK aenguliwe katika kinyang'anyiro cha Urais katika CCM.