Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Jana ikulu ya Jk imewaanfikia vyombo vya habari kukanusha kwa mara nyingine kutekwa na kuteswa kwa Dr. Olimboka na kusema kuwa sio kazi ya Ikulu kuteka watu na Kuuwa.
Hoja binafsi na ya Dr. Olimboka!
Kama ikulu haihusiki kwa nini wanakataaa kuunda tume huru ya uchunguzi? Na mbona kesi imesimamaa na muuwaji hajasikika tena?
Hoja binafsi na ya Dr. Olimboka!
Kama ikulu haihusiki kwa nini wanakataaa kuunda tume huru ya uchunguzi? Na mbona kesi imesimamaa na muuwaji hajasikika tena?