Aiingii akilini kwa serikali kuendelea kukaa kimya na badala yake kulifungia gazeti la mwanahalisi kwa tuhuma za UCHOCHEZ hasa baada ya kutoa habari inaoelezea watu wanaosadikiwa ni wa ikulu kuhusika na utekwaji wa kiongozi wa madaktari ndg ULIMBOKA SILENCE MEANS YES