IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Hakika, Hakika najua kwa wale wapiganaji tumebaki midomo wazi, hatuwi twende wapi! dunia haitutaki tena, Matumaini yamepotea ghafla........, sijui tunatokaje hapa tulipofikishwa na akina Wa 16, Maralia Sugu na wengineo wengi wanao faidika na mfumo huu.
Ndoto na njozi zetu zinaendelea kufifia kila kukicha, hata wale wapiganaji tuliowaamini nao wameanza kuturuka, kia kukicha ni mchanganyiko mtupu.
Ndugu zangu wapenda mabadiiko vita hii sisi tu washindi ni jambo la muda ukitimu ishallah tutashinda tunaelewa mfumo unalazimisha (CCM) kututawala na hata kuwanunua wale tunaoamini katika mabadiliko.
Natoa ushauri kwa watanzania wapenda mabadiliko.
1. Tujiepushe na Mijadala isiyokuwa na tija ndani ya (JF)Jamvi hili.
2. Tutumie akili sana kama tutaweza kuwatambua wale wanaotaka chama cha CHADEMA kipoteze mwelekeo.
3. Popote tulipo(wapenda mabadiliko) Tanzania tuwaelimishe bibi, babu, mama zetu, dada zetu, wadogo zetu kuwa wezi wetu ni C**, Kisha tuwaambie wadai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote.
4.Mwisho tuwaabie kuwa Rais wetu ni Dr. Slaa kama si wizi wa hawa jamaa tungenunua bati kwa sh 5000, cement kwa sh 5000. hivyo basi umasikini wao ni kwa sababu ya .....
swali la kujiuliza wewe mpiganaji
Ni kwa jinsi gani utahakikisha kuwa Tanzania mpya inapatikana 2015?
Ndoto na njozi zetu zinaendelea kufifia kila kukicha, hata wale wapiganaji tuliowaamini nao wameanza kuturuka, kia kukicha ni mchanganyiko mtupu.
Ndugu zangu wapenda mabadiiko vita hii sisi tu washindi ni jambo la muda ukitimu ishallah tutashinda tunaelewa mfumo unalazimisha (CCM) kututawala na hata kuwanunua wale tunaoamini katika mabadiliko.
Natoa ushauri kwa watanzania wapenda mabadiliko.
1. Tujiepushe na Mijadala isiyokuwa na tija ndani ya (JF)Jamvi hili.
2. Tutumie akili sana kama tutaweza kuwatambua wale wanaotaka chama cha CHADEMA kipoteze mwelekeo.
3. Popote tulipo(wapenda mabadiliko) Tanzania tuwaelimishe bibi, babu, mama zetu, dada zetu, wadogo zetu kuwa wezi wetu ni C**, Kisha tuwaambie wadai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote.
4.Mwisho tuwaabie kuwa Rais wetu ni Dr. Slaa kama si wizi wa hawa jamaa tungenunua bati kwa sh 5000, cement kwa sh 5000. hivyo basi umasikini wao ni kwa sababu ya .....
swali la kujiuliza wewe mpiganaji
Ni kwa jinsi gani utahakikisha kuwa Tanzania mpya inapatikana 2015?