Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Labda mie mzembe, na uzembe huu umechukua sura mpya hasa kukengeuka katikati ya mambo makuu yanayohitaji umakini mkubwa!
Niliambiwa na kuona kwa macho mabango mengi kila pembe ya jiji la Daslamu mfano (feri kigamboni) yasemayo kuwa Mkutano wa CCM jana pale jangwani ungepasua kile kinachoitwa SIRI NZITO ya UPINZANI (CHADEMA)
Ikanilazimu niweke kampi Jangwani japo sikuvaa nguo ya rangi ya mkoloni huyu mweusi,
Mda ulipowadia nikatega sikio kwa minajiri ileile ya kusikia SIRI NZITO ya upinzani, badala yake nilisikia taariza za mawaziri juu ya utendaji wao na ahadi za kipuuzi za eti "barabara za juu zitaanza kujenzi siku si nyingi" na "mabomba ya maji yatatoa maziwa"
Kwa ujumla sikusikia chamaana kwa mwananchi wa Tanzania zaidi ya wanasiasa hawa kuzidi kuwadhihaki wa tz tu!
Inawezekana siri nzito zenyewe ni ule upokeaji wa kadi feki na wanachama feki wanaojiita wa CHADEMA
Naomba kufahamishwa SIRI NZITO za Upinzani zilizopasuliwa na CCM pale jangwani ni zipi?
Niliambiwa na kuona kwa macho mabango mengi kila pembe ya jiji la Daslamu mfano (feri kigamboni) yasemayo kuwa Mkutano wa CCM jana pale jangwani ungepasua kile kinachoitwa SIRI NZITO ya UPINZANI (CHADEMA)
Ikanilazimu niweke kampi Jangwani japo sikuvaa nguo ya rangi ya mkoloni huyu mweusi,
Mda ulipowadia nikatega sikio kwa minajiri ileile ya kusikia SIRI NZITO ya upinzani, badala yake nilisikia taariza za mawaziri juu ya utendaji wao na ahadi za kipuuzi za eti "barabara za juu zitaanza kujenzi siku si nyingi" na "mabomba ya maji yatatoa maziwa"
Kwa ujumla sikusikia chamaana kwa mwananchi wa Tanzania zaidi ya wanasiasa hawa kuzidi kuwadhihaki wa tz tu!
Inawezekana siri nzito zenyewe ni ule upokeaji wa kadi feki na wanachama feki wanaojiita wa CHADEMA
Naomba kufahamishwa SIRI NZITO za Upinzani zilizopasuliwa na CCM pale jangwani ni zipi?