Iko wapi heshima na thamani ya mwanamke anayoililia kila kukicha??? Muone Huyu!

unajua tunakosea kitu kimoja hata kama ni umagharibi tuige mambo mazuri, vivazi ambavyo wenzetu wanavaa stegini kwenye shoo vile tumesikia kuna kuiga ndo tunaiga tunakaa uchi.
 
Dogo mbona unakurupuka ka vile umeshinda kwenye mataputapu. Hayo unayoyaongea unafikiri ni nani hayajui? Hebu soma post yangu vizuri na utaona nimeandika kutu'civilize'. Hapo kuna alama kwenye hilo neno civilize na kama umekwenda shule basi utajua kwa nini nimetumia hizo alama. Now, come back again!

Hebu angalia hii picha kwa makini, kama umesahau historia yako:

View attachment 30036

Kitumbua kiko wapi hapo, mbona mimi sikioni?
 
Msipooneshwa mnatamani kuiona mpaka mnapiga chabo. Mkioneshwa kelele nyiiiiiiingi. Lipi afadhali kenu? hizo cd za ngo- mnazinunua za nini
 
Mkuu, ule kwa mbali siyo uchi...! kama ndiyo basi utu wa mwanamke ameudhalilisha mwenye, kama siyo tumsifu yesu kristu...!! semeni... milele amina!

Ndioooooo!!!, Kama macho yangu hayakosei, sioni (Pants)ama kufuli hapo!!!!!!!!!!
 
binafsi huwa naamini anayemdharilisha mwanamke ni mwanamke mwenyewe we fanya utafiti hata nje ya hapo popote utagundua hivyo. mfano angalia wauzaji wakubwa wa nguo za nusu uchi za kike ni wanawake na wanunuzi wakubwa wa nguo hizo ni wanawake wenyewe nikiwa na maana kwamba hawanunuliwi na wanaue. kwenye bendi za music angalia wanavyovcaa waimbaji nawachezaji wa kike na wanavyovyaa wale wa kiume. hata ktk bendi zinazomilikiwa na wanawake wenzao. maofisini angalia uniform za kike na zile za kiume yaani mpaka huwa nafikiria labda wanaamini ukamilifu wao upo katika uchi wao mimi sijui.
 
binafsi huwa naamini anayemdharilisha mwanamke ni mwanamke mwenyewe we fanya utafiti hata nje ya hapo popote utagundua hivyo. Mfano angalia wauzaji wakubwa wa nguo za nusu uchi za kike ni wanawake na wanunuzi wakubwa wa nguo hizo ni wanawake wenyewe nikiwa na maana kwamba hawanunuliwi na wanaue. Kwenye bendi za music angalia wanavyovcaa waimbaji nawachezaji wa kike na wanavyovyaa wale wa kiume. Hata ktk bendi zinazomilikiwa na wanawake wenzao. Maofisini angalia uniform za kike na zile za kiume yaani mpaka huwa nafikiria labda wanaamini ukamilifu wao upo katika uchi wao mimi sijui.


mwanamke ni kiburudisho cha mwanamme!iko hivyo...na wewe bila kuona more than 60% ya ngozi yake hujaburudika!ndo maana iko hivyo na ukweli ndo huo.
 
Wengi hudhani kujiachia na kujiweka uchi au nusu uchi ni ustaarabu na kujiongezea thamani, kumbe aaah, ni kujidhalilisha, kujishushia thamani na kutudhalilisha wanawake wote.

Kama nyuzi hii sasa, haonekani huyo aliyefanya hayo, tunachanganywa sote.

Nakubaliana na yeyote asemae kuwa wanawake tunajidhalilisha na kujishushia thamani wenyewe.
 
WanaJF
Nasapoti sana wanawake ktk harakati zao, wanataka usawa si ndio??

lakini nasikitika sana na ninahofu juu ya wao kama wanatambua thamani yao, au wanataka tu kushindana na wanaume, muone huyu dada anachokionyesha then muangalie mwanaume anachokionyesha!, Seriously u need to change otherwise wimbo utakuwa ule ule!,

Sina ubaya na topic Hii!
Halafu ni kama vile hajavaa chupi! Na hii inaonekana amefanya makusudi. Jamaa aliyekaa karibu naye ameona kama karaha na akaamua kuangalia pembeni. Wanawake wanajidhalilisha wenyewe!!
 
Hili la kuvaa nusu uchi linatuathiri wote-wanawake kwa wanaume. Kwanini siku hizi kuna upungufu mkubwa sana wa nguvu za kiume kwa wanaume? Sababu zaweza kuwa nyingi, lakini kwa maoni yangu, hili la mavazi linachangia kwa kiasi kikubwa. Kimsingi, kukosa nguvu za kiume ni kukosa msisimko/hamu wa kufanya mapenzi. Utapata wapi msisimko wakati vitu vya kukusisimua (matiti, mapaja, n.k) vipo wazi wakati wowote kwa kila mtu kuona, tena bure bila bughudha,hata kama hutaki? Mtu unapokuwa faragha huoni tena 'vipya', vyote umeshaviona tena kila wakati. Naam, upungufu wa nguvu za kiume ni pigo kwa wote, imagine ndoa inakuwaje mwanaume anapokuwa na upungufu wa nguvu za kiume?

Kwanini wanawake wanadhani ili wavutie lazima wavae mavazi yanayoacha sehemu kubwa ya mwili wao wazi? Nani kasema ukivaa ukajisitiri vizuri hutapendeza? Hapo ndipo ninaikubali dini inayo-advocate mavazi yanayositiri kwa wanawake. Kusema kwamba hata zamani watu walikuwa hawavai nguo, hii ni hoja dhaifu kwakuwa tunashindwa kuelewa hata mazingira waliyokuwa wakiishi. Hawa watu waliishi porini (hawakuwa wanatembea barabarani kama mtaa wa kongo), shughuli zao zilikuwa nzito na za shuruba (sio za kukaa ofisin na kompyuta), interaction na watu wengine ilikuwa ndogo na hata uelewa ulikuwa mdogo sana. Leo hii katoto kwa miaka mitano kanajua kila kitu! Wao walikuwa hawavai nguo coz vilevile hazikuwepo, leo tuna nguo watu hawataki kuvaa! Walikuwa wanapenda wavae but hazikuwepo, ndo maana wakavaa magome ya miti!
 
<b><font face="Garamond"><font size="3">Hili la kuvaa nusu uchi linatuathiri wote-wanawake kwa wanaume. Kwanini siku hizi kuna upungufu mkubwa sana wa nguvu za kiume kwa wanaume? Sababu zaweza kuwa nyingi, lakini kwa maoni yangu, hili la mavazi linachangia kwa kiasi kikubwa. Kimsingi, kukosa nguvu za kiume ni kukosa msisimko/hamu wa kufanya mapenzi. Utapata wapi msisimko wakati vitu vya kukusisimua (matiti, mapaja, n.k) vipo wazi wakati wowote kwa kila mtu kuona, tena bure bila bughudha,hata kama hutaki? Mtu unapokuwa faragha huoni tena 'vipya', vyote umeshaviona tena kila wakati. Naam, upungufu wa nguvu za kiume ni pigo kwa wote, imagine ndoa inakuwaje mwanaume anapokuwa na upungufu wa nguvu za kiume?<br />

Kwanini wanawake wanadhani ili wavutie lazima wavae mavazi yanayoacha sehemu kubwa ya mwili wao wazi? Nani kasema ukivaa ukajisitiri vizuri hutapendeza? Hapo ndipo ninaikubali dini inayo-advocate mavazi yanayositiri kwa wanawake. Kusema kwamba hata zamani watu walikuwa hawavai nguo, hii ni hoja dhaifu kwakuwa tunashindwa kuelewa hata mazingira waliyokuwa wakiishi. Hawa watu waliishi porini (hawakuwa wanatembea barabarani kama mtaa wa kongo), shughuli zao zilikuwa nzito na za shuruba (sio za kukaa ofisin na kompyuta), interaction na watu wengine ilikuwa ndogo na hata uelewa ulikuwa mdogo sana. Leo hii katoto kwa miaka mitano kanajua kila kitu! Wao walikuwa hawavai nguo coz vilevile hazikuwepo, leo tuna nguo watu hawataki kuvaa! Walikuwa wanapenda wavae but hazikuwepo, ndo maana wakavaa magome ya miti!</font></font></b>
<br />
<br />
Heshima kwako,naunga mkono hoja yako 100%
 
Huko ni kujidhalilisha, lakini tatizo kubwa ni wanaume,wanawake wanapata soko kwa uvaaji wa hivi kwasababu kuna wanaume wanapenda hivi vitu.



wanajf
nasapoti sana wanawake ktk harakati zao, wanataka usawa si ndio??

Lakini nasikitika sana na ninahofu juu ya wao kama wanatambua thamani yao, au wanataka tu kushindana na wanaume, muone huyu dada anachokionyesha then muangalie mwanaume anachokionyesha!, seriously u need to change otherwise wimbo utakuwa ule ule!,

sina ubaya na topic hii!
 
Dogo mbona unakurupuka ka vile umeshinda kwenye mataputapu. Hayo unayoyaongea unafikiri ni nani hayajui? Hebu soma post yangu vizuri na utaona nimeandika kutu'civilize'. Hapo kuna alama kwenye hilo neno civilize na kama umekwenda shule basi utajua kwa nini nimetumia hizo alama. Now, come back again!

Hebu angalia hii picha kwa makini, kama umesahau historia yako:

View attachment 30036

kama ujui neno kucivilize jipange upya tukufahamishe,ujui chochote man,umekaririshwa mtazamo wa kimagalibi alafu unajitia kujua kama utajali niombe nikupe data kuhusu dhana nzima ya civilization in africa ata maeneo ya mesopotania kabla hata ya hao wazungu uliokariri,pia na hata utandawazi inavoonekana uujui unausikiasikia tu,kwa akina mkapa na wengine,kama unapenda pia nitakueleza.ili usije rudia kuandika pumba zako.n.b sio bifu ila ni kueleweshana.
 
WanaJF
Nasapoti sana wanawake ktk harakati zao, wanataka usawa si ndio??

lakini nasikitika sana na ninahofu juu ya wao kama wanatambua thamani yao, au wanataka tu kushindana na wanaume, muone huyu dada anachokionyesha then muangalie mwanaume anachokionyesha!, Seriously u need to change otherwise wimbo utakuwa ule ule!,

Sina ubaya na topic Hii!

Mi nimempenda
moz-screenshot.jpg
moz-screenshot-1.jpg
moz-screenshot-2.jpg
moz-screenshot-3.jpg
 
kama ujui neno kucivilize jipange upya tukufahamishe,ujui chochote man,umekaririshwa mtazamo wa kimagalibi alafu unajitia kujua kama utajali niombe nikupe data kuhusu dhana nzima ya civilization in africa ata maeneo ya mesopotania kabla hata ya hao wazungu uliokariri,pia na hata utandawazi inavoonekana uujui unausikiasikia tu,kwa akina mkapa na wengine,kama unapenda pia nitakueleza.ili usije rudia kuandika pumba zako.n.b sio bifu ila ni kueleweshana.
Wewe hata useme nini na kutumia lugha za kebehi ukweli unabaki pale pale, yaani bado una-ulimbukeni wa maswala hayo uandikayo. Hebu jaribu kwanza kubadili hilo jina lako la ki-"magharibi" halafu njoo tena tuendelee na malumbano. Kutokana na jina lako inaonekana wazungu wame-kucivilize vizuri tu, Mr. Leonard Robert!

Kabla ya kuendelea kujibishana na mimi nakuomba usome vitabu vya waandishi wafuatao ili uelewe vizuri ishu nzima ya Afrocentric philosophy, na sio kubwabwaja hapa jukwaani: Cheik Anta Diop, Marcus Garvey, Walter Rodney, W.E.B. Du Bois, Franz Fanon, Ali Mazrui, Chinweizu Ibekwe, Ngugi wa Thiong'o, na Uhuru Hotep, (hao ni wachache tu wa kuanzia).

Fortunately, sikuzaliwa leo
!
 
Back
Top Bottom