Iko wapi heshima na thamani ya mwanamke anayoililia kila kukicha??? Muone Huyu!

A woman's worth is inherently inside herself and not what people see outside...God given, God created...just like anyone else...mbona zamani kwetu na hata leo lwa wengine wasichana hatukufunika the upper part...were we less or are we less human just because our sense of shame is not on covering bodies but rather those shameful actions that destroy relationships in the community. Mbona wanawake wa kizungu wakati wa summer wanakaa almost uchi and they are respected///acheni prejudice and double standards....WOMEN ARE CREATED IN THE IMAGE AND LIKENESS OF GOD....period!!!!
 
Beauty is in the eyes of be(eer)holder!?

Au hapa naona kitambaa cha nguo kilikuwa kidogo ..............
 
Pale katikati ya hips kilichotuna si kitumbua kile!!! Duuuu, kwa kweli wanaume marijali kazi tunayo. Wengine itabidi watuhasi tu. Vinginevyo, suruali zitapasuka. Serikali imelala tu!

serikali wenyewe vifaa vinanyanyua suruwali wanajikaza tu wanabaki kuweka mikono mfukoni
 
Sasa nyie wote mnaosema eti kuiga, eti sijui nini mbona mnasahau kwamba kabla ya wakoloni kuja kutu'civilize' ilikuwa ni kawaida kwa jamii nyingi za kiafrika kuweka 'vyombo' nje? Acheni double standards na kujifanya 'moral police' kwenye hizi zama za utandawazi. Kwa mtaji huu hamfiki mbali, trust me. Yalimshinda Kawawa itakuja kuwa nyie?
 
A woman's worth is inherently inside herself and not what people see outside...God given, God created...just like anyone else...mbona zamani kwetu na hata leo lwa wengine wasichana hatukufunika the upper part...were we less or are we less human just because our sense of shame is not on covering bodies but rather those shameful actions that destroy relationships in the community. Mbona wanawake wa kizungu wakati wa summer wanakaa almost uchi and they are respected///acheni prejudice and double standards....WOMEN ARE CREATED IN THE IMAGE AND LIKENESS OF GOD....period!!!!
sawa mkuu lakini umesema wa kizungu kuna tofauti ya zungu na mwafrika so hata mavazi na maadili ni tofauti period
 
A woman's worth is inherently inside herself and not what people see outside...God given, God created...just like anyone else...mbona zamani kwetu na hata leo lwa wengine wasichana hatukufunika the upper part...were we less or are we less human just because our sense of shame is not on covering bodies but rather those shameful actions that destroy relationships in the community. Mbona wanawake wa kizungu wakati wa summer wanakaa almost uchi and they are respected///acheni prejudice and double standards....WOMEN ARE CREATED IN THE IMAGE AND LIKENESS OF GOD....period!!!!

So what is your Pointe!

Ya wazungu ebu tuwaachie wao,

Sie tulikua tunatembea uchi si ndio??, Nini kilichotufanya tuanze kuvaa nguo??, Na mbona tena wenzetu wa jinsia ya pili hampendi kuvaa nguo au ndo mnaturudisha enzi zile??
 
Sasa nyie wote mnaosema eti kuiga, eti sijui nini mbona mnasahau kwamba kabla ya wakoloni kuja kutu'civilize' ilikuwa ni kawaida kwa jamii nyingi za kiafrika kuweka 'vyombo' nje? Acheni double standards na kujifanya 'moral police' kwenye hizi zama za utandawazi. Kwa mtaji huu hamfiki mbali, trust me. Yalimshinda Kawawa itakuja kuwa nyie?

Sina imani na Maono yako,

Tulikuwa uchi zamani, Sawa!,
Tukaanza kuvaa nguo, Sawa!,
Tunaanza tena kuvua nguo, SAWA??
Alafu mbona wanaume hatuvaagi kuonyesha maungo yetu kama wanawake?, Na tulikuwa wote uchi na kuvaa nguo kwa pamoja??
 
WanaJF
Nasapoti sana wanawake ktk harakati zao, wanataka usawa si ndio??

lakini nasikitika sana na ninahofu juu ya wao kama wanatambua thamani yao, au wanataka tu kushindana na wanaume, muone huyu dada anachokionyesha then muangalie mwanaume anachokionyesha!, Seriously u need to change otherwise wimbo utakuwa ule ule!,

Sina ubaya na topic Hii!
Jamaa lake nalo ***** limekaa tu washenzi watampitia huyo mwanamke wako
 
Back
Top Bottom