Kwa muda mrefu nimekua nikikerwa na hii tabia ya kulaumu kama sio kulaani wanyama,sizungumzii binadamu.kua ni wakatili kupita maelezo,utasikia mtu anasema fulani anatabia za kanyama,au unyama alioufanya utadhani simba, chui au mnyama yeyote yule wa porini,haijalishi wa kufugwa au la.binadamu anaukatili isio na mfano kumlinganisha mnyam alieko porini au baharini ni kosa kubwa sana na sio dhambi,simba hawezi kuja mjini au kwenye makazi ya binadamu pasipo kuingiliwa kwani yale ni makazi yake na anakilasababu ya kukudhuru endapo tu utakua umeingia kwenye anga zake.wakowapi watetezi wa haki za wanyama kulifumbia macho na masikio suala hili??navyoelewa mimi kua wanyama ndio wako parfect alakini sio binadamu.tuche ukatili kwa wanyama jamani na kuwalinganisha na kila baya alifanyalo binadamu.ni mtazamo wangu tu.