Iko wapi haki ya wana-udom

buhange

JF-Expert Member
Oct 23, 2011
505
110
Habari wana-JF

Kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba pesa
( LOAN) zinazotowa na serikali kupitia HESLB kwa wanavyuo vya elimu ya juu ni kwa masharti ya kurudishwa baadae na wahusika(wanavyuo)

Sasa utaratibu mpya ulioanzishwa na bodi wa kuvipa-mandate Vyuo husika kuweka pesa kwa wanafunzi imeongeza uvivu,uzembe na hata ubadhirifu ktk Loan offices kwa baadhi ya Vyuo. Mathalani, Continuing students ktk vyuo vingi vikiwemo UD na UDOM wamekuwa wakilalamika kutopewa Mikopo yao mpaka leo tangu vyuo vimefunguliwa, wakiuliza sehemu husika(Loan office) utasikia Una-Incomplete mara Matokeo ya kozi yako tulichelewa kuyatuma bodi ya mikopo na wakikuhurumia sana watakwambia swala lako lipo ktk mchakato.

Hali ni tofauti zaidi ktk chuo kikuu cha Dodoma, maana kwa taarifa tuu ni kwamba baadhi ya wanafunzi ktk kozi kadhaa hawana hata matumaini ya kupata hizo pesa zao ktk SEMESTER hii. Vijana wanaishi ktk maisha ya kutisha na kusikitisha kama siyo kukatisha tamaa kabisa.

UDOM swala la BATCH ndilo lilotawala, utasikia vijana hawa wakifarijiana kwa maneno kama "JINA LANGU LIPO BATCH YA 14, LABDA ITATOKA WIKI IJAYO". Utakuta kijana huyu anazungumza maneno haya akiwa hana hata uhakika wa kupata kipande cha mkate ktk siku husika. Inatisha sana ndugu wana-JF

Sasa, hata hizo BATCH zitolewapo na wanafunzi wenye bahati ya mtende kupata fursa ya kusaini kwa ajili ya kuhakiki akaunti zao, hali huwa tofauti ktk kuwekewa hizo pesa. Mathalani, UNAWEZA KUSAINI LEO TAR.29/11 ILA UKAKAA WIKI TATU BILA PESA KUINGIA KTK AKAUNTI YAKO, Sasa Management na Loan Office UDOM wapo kwa ajili ya nini, bila ya hawa wanafunzi wanaowanyanyasa Leo hii kwa majibu ya kukatisha tamaa wao Wafanyakazi wangekuwepo kwenye hizo Office wanazolingia na viti vya kuzunguka? HUU NI UPUMBAVU NA UDHARIMU MKUBWA SANA

SOCIAL SCIENCE ni mfano wa wahanga wa swala hili, takribani 51% ya wanafunzi wa SOCIAL SCIENCE hawajapewa pesa zao, Sasa hawa watu

1.Wanakula na kunywa nini?
2.Wanaandika na kusoma kwa kutumia nini?
3. Kuna mwanafunzi kuelewa kipindi akiwa hana uhakika wa kula baada ya kipindi?
4.Taifa linaandaa wasomi wa aina gani au wanaandaa MAKOMANDOO, MA-MAFIA NA WAZAMIAJI?

Naomba Umma uelewe wazi kwamba ktk hali kama hii MIGOMO, FUJO NA HATA MAANDAMANO itabaki kuwa suruhu yetu ktk kutatua matatizo yetu, mpaka hapo Serikali watakapo elewa nini hasa tunamaanisha.

POSHO ZA WABUNGE HAZITOLEWI KWA BATCH WALA HAZICHELEWESHWI, MAFUTA YA (SU) NA (DFP) ZA SERIKALI HAYAKOSEKANI ILA MIKOPO YA WANAFUNZI TUU... HAIWEZEKANI.
 
Habari wana-JF

Kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba pesa
( LOAN) zinazotowa na serikali kupitia HESLB kwa wanavyuo vya elimu ya juu ni kwa masharti ya kurudishwa baadae na wahusika(wanavyuo)

Sasa utaratibu mpya ulioanzishwa na bodi wa kuvipa-mandate Vyuo husika kuweka pesa kwa wanafunzi imeongeza uvivu,uzembe na hata ubadhirifu ktk Loan offices kwa baadhi ya Vyuo. Mathalani, Continuing students ktk vyuo vingi vikiwemo UD na UDOM wamekuwa wakilalamika kutopewa Mikopo yao mpaka leo tangu vyuo vimefunguliwa, wakiuliza sehemu husika(Loan office) utasikia Una-Incomplete mara Matokeo ya kozi yako tulichelewa kuyatuma bodi ya mikopo na wakikuhurumia sana watakwambia swala lako lipo ktk mchakato.

Hali ni tofauti zaidi ktk chuo kikuu cha Dodoma, maana kwa taarifa tuu ni kwamba baadhi ya wanafunzi ktk kozi kadhaa hawana hata matumaini ya kupata hizo pesa zao ktk SEMESTER hii. Vijana wanaishi ktk maisha ya kutisha na kusikitisha kama siyo kukatisha tamaa kabisa.

UDOM swala la BATCH ndilo lilotawala, utasikia vijana hawa wakifarijiana kwa maneno kama "JINA LANGU LIPO BATCH YA 14, LABDA ITATOKA WIKI IJAYO". Utakuta kijana huyu anazungumza maneno haya akiwa hana hata uhakika wa kupata kipande cha mkate ktk siku husika. Inatisha sana ndugu wana-JF

Sasa, hata hizo BATCH zitolewapo na wanafunzi wenye bahati ya mtende kupata fursa ya kusaini kwa ajili ya kuhakiki akaunti zao, hali huwa tofauti ktk kuwekewa hizo pesa. Mathalani, UNAWEZA KUSAINI LEO TAR.29/11 ILA UKAKAA WIKI TATU BILA PESA KUINGIA KTK AKAUNTI YAKO, Sasa Management na Loan Office UDOM wapo kwa ajili ya nini, bila ya hawa wanafunzi wanaowanyanyasa Leo hii kwa majibu ya kukatisha tamaa wao Wafanyakazi wangekuwepo kwenye hizo Office wanazolingia na viti vya kuzunguka? HUU NI UPUMBAVU NA UDHARIMU MKUBWA SANA

SOCIAL SCIENCE ni mfano wa wahanga wa swala hili, takribani 51% ya wanafunzi wa SOCIAL SCIENCE hawajapewa pesa zao, Sasa hawa watu

1.Wanakula na kunywa nini?
2.Wanaandika na kusoma kwa kutumia nini?
3. Kuna mwanafunzi kuelewa kipindi akiwa hana uhakika wa kula baada ya kipindi?
4.Taifa linaandaa wasomi wa aina gani au wanaandaa MAKOMANDOO, MA-MAFIA NA WAZAMIAJI?

Naomba Umma uelewe wazi kwamba ktk hali kama hii MIGOMO, FUJO NA HATA MAANDAMANO itabaki kuwa suruhu yetu ktk kutatua matatizo yetu, mpaka hapo Serikali watakapo elewa nini hasa tunamaanisha.

POSHO ZA WABUNGE HAZITOLEWI KWA BATCH WALA HAZICHELEWESHWI, MAFUTA YA (SU) NA (DFP) ZA SERIKALI HAYAKOSEKANI ILA MIKOPO YA WANAFUNZI TUU... HAIWEZEKANI.
ndio msome kwa bidii hata mie nimepita huko huko hadi leo hii, tulilala njaa siku nyingine ila leo twakula kuku na heniken baada ya kusota chuo , hivyo nashauri vijana msome na muwe wazalendo acheni kupenda starehe za mapema bila kufanya kazi
 
Habari wana-JF

Kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba pesa
( LOAN) zinazotowa na serikali kupitia HESLB kwa wanavyuo vya elimu ya juu ni kwa masharti ya kurudishwa baadae na wahusika(wanavyuo)

Sasa utaratibu mpya ulioanzishwa na bodi wa kuvipa-mandate Vyuo husika kuweka pesa kwa wanafunzi imeongeza uvivu,uzembe na hata ubadhirifu ktk Loan offices kwa baadhi ya Vyuo. Mathalani, Continuing students ktk vyuo vingi vikiwemo UD na UDOM wamekuwa wakilalamika kutopewa Mikopo yao mpaka leo tangu vyuo vimefunguliwa, wakiuliza sehemu husika(Loan office) utasikia Una-Incomplete mara Matokeo ya kozi yako tulichelewa kuyatuma bodi ya mikopo na wakikuhurumia sana watakwambia swala lako lipo ktk mchakato.

Hali ni tofauti zaidi ktk chuo kikuu cha Dodoma, maana kwa taarifa tuu ni kwamba baadhi ya wanafunzi ktk kozi kadhaa hawana hata matumaini ya kupata hizo pesa zao ktk SEMESTER hii. Vijana wanaishi ktk maisha ya kutisha na kusikitisha kama siyo kukatisha tamaa kabisa.

UDOM swala la BATCH ndilo lilotawala, utasikia vijana hawa wakifarijiana kwa maneno kama "JINA LANGU LIPO BATCH YA 14, LABDA ITATOKA WIKI IJAYO". Utakuta kijana huyu anazungumza maneno haya akiwa hana hata uhakika wa kupata kipande cha mkate ktk siku husika. Inatisha sana ndugu wana-JF

Sasa, hata hizo BATCH zitolewapo na wanafunzi wenye bahati ya mtende kupata fursa ya kusaini kwa ajili ya kuhakiki akaunti zao, hali huwa tofauti ktk kuwekewa hizo pesa. Mathalani, UNAWEZA KUSAINI LEO TAR.29/11 ILA UKAKAA WIKI TATU BILA PESA KUINGIA KTK AKAUNTI YAKO, Sasa Management na Loan Office UDOM wapo kwa ajili ya nini, bila ya hawa wanafunzi wanaowanyanyasa Leo hii kwa majibu ya kukatisha tamaa wao Wafanyakazi wangekuwepo kwenye hizo Office wanazolingia na viti vya kuzunguka? HUU NI UPUMBAVU NA UDHARIMU MKUBWA SANA

SOCIAL SCIENCE ni mfano wa wahanga wa swala hili, takribani 51% ya wanafunzi wa SOCIAL SCIENCE hawajapewa pesa zao, Sasa hawa watu

1.Wanakula na kunywa nini?
2.Wanaandika na kusoma kwa kutumia nini?
3. Kuna mwanafunzi kuelewa kipindi akiwa hana uhakika wa kula baada ya kipindi?
4.Taifa linaandaa wasomi wa aina gani au wanaandaa MAKOMANDOO, MA-MAFIA NA WAZAMIAJI?

Naomba Umma uelewe wazi kwamba ktk hali kama hii MIGOMO, FUJO NA HATA MAANDAMANO itabaki kuwa suruhu yetu ktk kutatua matatizo yetu, mpaka hapo Serikali watakapo elewa nini hasa tunamaanisha.

POSHO ZA WABUNGE HAZITOLEWI KWA BATCH WALA HAZICHELEWESHWI, MAFUTA YA (SU) NA (DFP) ZA SERIKALI HAYAKOSEKANI ILA MIKOPO YA WANAFUNZI TUU... HAIWEZEKANI.

He! ulichelewa wapi kuwa mbunge?mbona wapo hata wa STD 7tu!
 
ndio msome kwa bidii hata mie nimepita huko huko hadi leo hii, tulilala njaa siku nyingine ila leo twakula kuku na heniken baada ya kusota chuo , hivyo nashauri vijana msome na muwe wazalendo acheni kupenda starehe za mapema bila kufanya kazi

Khah! Kula ni starehe au ni basic need? PhD hapo umechemka
 
Nyie Wanafiki kweli nyie,wacha mpate jeuri yenu...nyie si ndo mlimchangia JK mamilioni ya kuchukua form za kugombea Urais?wacha mle majani
 
Wenzao tulipogoma,hadi vyuo vikafungwa kwa miezi kadhaa walitucheka wakadai eti wao watapendwa ktk soko la ajira,mara kwa mara ungesikia mara JK,sijui Pinda kaenda UDOM.
Nyie Wanafiki kweli nyie,wacha mpate jeuri yenu...nyie si ndo mlimchangia JK mamilioni ya kuchukua form za kugombea Urais?wacha mle majani
 
Nyie Wanafiki kweli nyie,wacha mpate jeuri yenu...nyie si ndo mlimchangia JK mamilioni ya kuchukua form za kugombea Urais?wacha mle majani

Af hii issue mbona huwa MNAIPOTOSHA sana?! Mnataka kuniambia chuo chote ni wana CCM?! Mi Nime GRADUATE hapo UDOM na si MWANACHAMA wa CCM, kipindi kile sikusikia watu wanapita kuomba michango kwa ajili ya kumchangia JK..Wale inawezekana walikuwa WANACHAMA wa CCM pale UDOM ndo WALIOCHANGIA ila si wana UDOM wote...Naomba nieleweke MSIPENDE KUPOTOSHA UMMA...
 
Af hii issue mbona huwa MNAIPOTOSHA sana?! Mnataka kuniambia chuo chote ni wana CCM?! Mi Nime GRADUATE hapo UDOM na si MWANACHAMA wa CCM, kipindi kile sikusikia watu wanapita kuomba michango kwa ajili ya kumchangia JK..Wale inawezekana walikuwa WANACHAMA wa CCM pale UDOM ndo WALIOCHANGIA ila si wana UDOM wote...Naomba nieleweke MSIPENDE KUPOTOSHA UMMA...

naijua Udom zaidi ya unavoijua..sipotoshi kijana..nasema nachokijua,ku graduate udom haimanishi unaijua sana...chuo cha kata kile kwa ajil ya degree za vodafasta,mtaishia kukichangia chama tu.
 
naijua Udom zaidi ya unavoijua..sipotoshi kijana..nasema nachokijua,ku graduate udom haimanishi unaijua sana...chuo cha kata kile kwa ajil ya degree za vodafasta,mtaishia kukichangia chama tu.

Mtaishia hivyohivyo.. Af ni dhambi kuichangia CCM!? Kwani ni lazima Kila mtu awe UPINZANI!?..Ok ni cha kata na vodafasta,.ila cha ajabu tupo makazini...mi nimesema ninachokijua na we unasema ulichokisia au kusimuliwa,..na kwa bahati mbaya nilikuwa waziri pale so kila kilichokuwa kinaendelea nakijua..Sijui hao waliomaliza vyuo vya taifa wanapata issue gani xtra zaidi ya Udom..hivi na wakimaliza chuo huwa wanaajiriwa moja kwa moja et??? Ili niwashauri wanasoma UDOM waache waanze kwny VYUO vyenu hivyo vya maana ili wasije HANGAIKA kupata KAZI?!
 
Mtaishia hivyohivyo.. Af ni dhambi kuichangia CCM!? Kwani ni lazima Kila mtu awe UPINZANI!?..Ok ni cha kata na vodafasta,.ila cha ajabu tupo makazini...mi nimesema ninachokijua na we unasema ulichokisia au kusimuliwa,..na kwa bahati mbaya nilikuwa waziri pale so kila kilichokuwa kinaendelea nakijua..Sijui hao waliomaliza vyuo vya taifa wanapata issue gani xtra zaidi ya Udom..hivi na wakimaliza chuo huwa wanaajiriwa moja kwa moja et??? Ili niwashauri wanasoma UDOM waache waanze kwny VYUO vyenu hivyo vya maana ili wasije HANGAIKA kupata KAZI?!

Inategemea na kaz uliyo nayo!hunidanganyi kuhusu Udoso...nimefanya research ya kutosha..na nlikuwa natazama mchango wa serikali za wanafunz ktk kuzuia migomo ya elimu ya Juu Tz..nimepta zaid ya vyuo 15 Tz nzima..na hicho chako cha kata kikiwemo...nkapata Dodoso za uongozi kuanzia Mtu anaitwa Malimi,Maratho,Singo mpaka takataka nyngne na serikali zao,ni aina ya viranja s rais wala mawaziri...ata HP wangu pale Kibaha Secondary amewashnda....hakuna kitu pale..tena unajiaibisha kusema umekuwa kama kiranja ktk chuo cha kata...kwa product ya Udom Taifa linaenda kuwa na wasomi hafifu
 
Anaesema UDOM ni chuo kikuu ajitazame mara mbilimbili,twafahamu ni chuo cha majaribio sawa na shule za kata.
Kuna tofauti kubwa kati ya wahitimu Udom na vyuo vingine katika mambo mengi km mtazamo,uelewa,umahiri ktk kazi nk.
Inategemea na kaz uliyo nayo!hunidanganyi kuhusu Udoso...nimefanya research ya kutosha..na nlikuwa natazama mchango wa serikali za wanafunz ktk kuzuia migomo ya elimu ya Juu Tz..nimepta zaid ya vyuo 15 Tz nzima..na hicho chako cha kata kikiwemo...nkapata Dodoso za uongozi kuanzia Mtu anaitwa Malimi,Maratho,Singo mpaka takataka nyngne na serikali zao,ni aina ya viranja s rais wala mawaziri...ata HP wangu pale Kibaha Secondary amewashnda....hakuna kitu pale..tena unajiaibisha kusema umekuwa kama kiranja ktk chuo cha kata...kwa product ya Udom Taifa linaenda kuwa na wasomi hafifu
 
Inategemea na kaz uliyo nayo!hunidanganyi kuhusu Udoso...nimefanya research ya kutosha..na nlikuwa natazama mchango wa serikali za wanafunz ktk kuzuia migomo ya elimu ya Juu Tz..nimepta zaid ya vyuo 15 Tz nzima..na hicho chako cha kata kikiwemo...nkapata Dodoso za uongozi kuanzia Mtu anaitwa Malimi,Maratho,Singo mpaka takataka nyngne na serikali zao,ni aina ya viranja s rais wala mawaziri...ata HP wangu pale Kibaha Secondary amewashnda....hakuna kitu pale..tena unajiaibisha kusema umekuwa kama kiranja ktk chuo cha kata...kwa product ya Udom Taifa linaenda kuwa na wasomi hafifu

Narudia tena mtaishia hivyohivyo?! Kumbe unaiponda UDOSO kisa ya hicho ki-research chako kwa nini walikuwa wanashindwa kuzuia MIGOMO?! We ulikuja kufanya research mi nilikuwa kwenye system..nina doubt ka ulienda kufanya reseach ila ulienda kutembelea washkj.Hao wakn Ambrose na Singo walikuwa ni Marais wa collage ya Social Sciences na sio UDOM.. Af soma post yangu vizuri, nilichosema mi nimegraduate pale na nilikuwa Waziri, So vitu vingi nilivyokuwa vinaendelea navijua..Ningekuona wa maana ka ungekuja na sababu kwa nini elimu ya pale mbovu..
1.Kwa nini wazuie migomo ka watu wanasababu za kugoma!?
2. Kuhusu products za UDOM kuwa hafifu, huwezi kutoa conclusion kwa chuo ambacho kimetoa products mara mbili na product moja tu ndo ipo kwenye soko la ajira
3. Kwa bahati mbaya sijasikia muajiriwa toka UDOM amekuwa fired kisa kashindwa kafanya kazi...
4. Nyie mliotoka kwenye vyuo vya maana mmefanya issue gani kwa taifa hadi leo hii
5. Graduates wa hivyo vyuo vyenu vya taifa mbona wapo wa kutosha huko mitaani imekuwaje hawana kazi hadi leo?!
6. Unataka kuniambia Marketing, Accounting au Sociology jinsi inavyofundishwa UDSM, MU. SUA ni tofauti na UDOM?!
NB:- Swala la uwezo wa kufikiri ka unavyodai hausababishwi na chuo bali ni juhudi za mtu binafsi na misingi aliojengewa toka mwanzo, manaake hamna sehemu inayofundisha mtu jinsi ya kufikiri,.KWANI HUYU RAIS WENU KASOMA CHUO GANI!? Si regret kwa kusoma pale but naji proud sababu nilichokitalajia nimekipata tena +ve
 
Narudia tena mtaishia hivyohivyo?! Kumbe unaiponda UDOSO kisa ya hicho ki-research chako kwa nini walikuwa wanashindwa kuzuia MIGOMO?! We ulikuja kufanya research mi nilikuwa kwenye system..nina doubt ka ulienda kufanya reseach ila ulienda kutembelea washkj.Hao wakn Ambrose na Singo walikuwa ni Marais wa collage ya Social Sciences na sio UDOM.. Af soma post yangu vizuri, nilichosema mi nimegraduate pale na nilikuwa Waziri, So vitu vingi nilivyokuwa vinaendelea navijua..Ningekuona wa maana ka ungekuja na sababu kwa nini elimu ya pale mbovu..
1.Kwa nini wazuie migomo ka watu wanasababu za kugoma!?
2. Kuhusu products za UDOM kuwa hafifu, huwezi kutoa conclusion kwa chuo ambacho kimetoa products mara mbili na product moja tu ndo ipo kwenye soko la ajira
3. Kwa bahati mbaya sijasikia muajiriwa toka UDOM amekuwa fired kisa kashindwa kafanya kazi...
4. Nyie mliotoka kwenye vyuo vya maana mmefanya issue gani kwa taifa hadi leo hii
5. Graduates wa hivyo vyuo vyenu vya taifa mbona wapo wa kutosha huko mitaani imekuwaje hawana kazi hadi leo?!
6. Unataka kuniambia Marketing, Accounting au Sociology jinsi inavyofundishwa UDSM, MU. SUA ni tofauti na UDOM?!
NB:- Swala la uwezo wa kufikiri ka unavyodai hausababishwi na chuo bali ni juhudi za mtu binafsi na misingi aliojengewa toka mwanzo, manaake hamna sehemu inayofundisha mtu jinsi ya kufikiri,.KWANI HUYU RAIS WENU KASOMA CHUO GANI!? Si regret kwa kusoma pale but naji proud sababu nilichokitalajia nimekipata tena +ve

asante kwa kumjibu huyu kenge
 
Narudia tena mtaishia hivyohivyo?! Kumbe unaiponda UDOSO kisa ya hicho ki-research chako kwa nini walikuwa wanashindwa kuzuia MIGOMO?! We ulikuja kufanya research mi nilikuwa kwenye system..nina doubt ka ulienda kufanya reseach ila ulienda kutembelea washkj.Hao wakn Ambrose na Singo walikuwa ni Marais wa collage ya Social Sciences na sio UDOM.. Af soma post yangu vizuri, nilichosema mi nimegraduate pale na nilikuwa Waziri, So vitu vingi nilivyokuwa vinaendelea navijua..Ningekuona wa maana ka ungekuja na sababu kwa nini elimu ya pale mbovu..
1.Kwa nini wazuie migomo ka watu wanasababu za kugoma!?
2. Kuhusu products za UDOM kuwa hafifu, huwezi kutoa conclusion kwa chuo ambacho kimetoa products mara mbili na product moja tu ndo ipo kwenye soko la ajira
3. Kwa bahati mbaya sijasikia muajiriwa toka UDOM amekuwa fired kisa kashindwa kafanya kazi...
4. Nyie mliotoka kwenye vyuo vya maana mmefanya issue gani kwa taifa hadi leo hii
5. Graduates wa hivyo vyuo vyenu vya taifa mbona wapo wa kutosha huko mitaani imekuwaje hawana kazi hadi leo?!
6. Unataka kuniambia Marketing, Accounting au Sociology jinsi inavyofundishwa UDSM, MU. SUA ni tofauti na UDOM?!
NB:- Swala la uwezo wa kufikiri ka unavyodai hausababishwi na chuo bali ni juhudi za mtu binafsi na misingi aliojengewa toka mwanzo, manaake hamna sehemu inayofundisha mtu jinsi ya kufikiri,.KWANI HUYU RAIS WENU KASOMA CHUO GANI!? Si regret kwa kusoma pale but naji proud sababu nilichokitalajia nimekipata tena +ve

ukilinganisha mawazo haya na ya huyo anayejiita sijui ngaliba dume, oviously utagundua ngaliba ni mropokaji (speaks without facts) halafu naye anajihesabu anauwezo mkubwa wa kufikiri, kaaz kwelikwel....lol.
 
NGALIBA JIKE! lenye MADUME 20.Mmmmh! pole sana kaka.
ila siwezi kukulaumu sana maana kila mtu anahaki ya kutoa maoni, inamaana uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo ktk kuponda hii jamii ya wana UDOM? Kweli nchi hii bado inamzigo mkubwa wa kuelimisha UMMA wake! sikutalajia kama watu kama wewe waweza kufikia hatua ya KU-COMMENT vitu bila hata kushirikisha BRAIN zao, Pole sana ndugu. Mmmmmh! endelea kutoa pumba zako. maana it seems kama uko half way minded... go on...
 
Mmmmh! pole sana kaka.
ila siwezi kukulaumu sana maana kila mtu anahaki ya kutoa maoni, inamaana uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo? Kweli nchi hii bado inamzigo mkubwa wa kuelimisha UMMA wake! sikutalajia kama watu kama wewe waweza kufikia hatua ya KU-COMMENT vitu bila hata kushirikisha BRAIN yako, Pole sana ndugu. Mmmmmh! endelea kutoa pumba zako. maana it seems kama uko half way minded... go on...
 
Back
Top Bottom