buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Habari wana-JF
Kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba pesa
( LOAN) zinazotowa na serikali kupitia HESLB kwa wanavyuo vya elimu ya juu ni kwa masharti ya kurudishwa baadae na wahusika(wanavyuo)
Sasa utaratibu mpya ulioanzishwa na bodi wa kuvipa-mandate Vyuo husika kuweka pesa kwa wanafunzi imeongeza uvivu,uzembe na hata ubadhirifu ktk Loan offices kwa baadhi ya Vyuo. Mathalani, Continuing students ktk vyuo vingi vikiwemo UD na UDOM wamekuwa wakilalamika kutopewa Mikopo yao mpaka leo tangu vyuo vimefunguliwa, wakiuliza sehemu husika(Loan office) utasikia Una-Incomplete mara Matokeo ya kozi yako tulichelewa kuyatuma bodi ya mikopo na wakikuhurumia sana watakwambia swala lako lipo ktk mchakato.
Hali ni tofauti zaidi ktk chuo kikuu cha Dodoma, maana kwa taarifa tuu ni kwamba baadhi ya wanafunzi ktk kozi kadhaa hawana hata matumaini ya kupata hizo pesa zao ktk SEMESTER hii. Vijana wanaishi ktk maisha ya kutisha na kusikitisha kama siyo kukatisha tamaa kabisa.
UDOM swala la BATCH ndilo lilotawala, utasikia vijana hawa wakifarijiana kwa maneno kama "JINA LANGU LIPO BATCH YA 14, LABDA ITATOKA WIKI IJAYO". Utakuta kijana huyu anazungumza maneno haya akiwa hana hata uhakika wa kupata kipande cha mkate ktk siku husika. Inatisha sana ndugu wana-JF
Sasa, hata hizo BATCH zitolewapo na wanafunzi wenye bahati ya mtende kupata fursa ya kusaini kwa ajili ya kuhakiki akaunti zao, hali huwa tofauti ktk kuwekewa hizo pesa. Mathalani, UNAWEZA KUSAINI LEO TAR.29/11 ILA UKAKAA WIKI TATU BILA PESA KUINGIA KTK AKAUNTI YAKO, Sasa Management na Loan Office UDOM wapo kwa ajili ya nini, bila ya hawa wanafunzi wanaowanyanyasa Leo hii kwa majibu ya kukatisha tamaa wao Wafanyakazi wangekuwepo kwenye hizo Office wanazolingia na viti vya kuzunguka? HUU NI UPUMBAVU NA UDHARIMU MKUBWA SANA
SOCIAL SCIENCE ni mfano wa wahanga wa swala hili, takribani 51% ya wanafunzi wa SOCIAL SCIENCE hawajapewa pesa zao, Sasa hawa watu
1.Wanakula na kunywa nini?
2.Wanaandika na kusoma kwa kutumia nini?
3. Kuna mwanafunzi kuelewa kipindi akiwa hana uhakika wa kula baada ya kipindi?
4.Taifa linaandaa wasomi wa aina gani au wanaandaa MAKOMANDOO, MA-MAFIA NA WAZAMIAJI?
Naomba Umma uelewe wazi kwamba ktk hali kama hii MIGOMO, FUJO NA HATA MAANDAMANO itabaki kuwa suruhu yetu ktk kutatua matatizo yetu, mpaka hapo Serikali watakapo elewa nini hasa tunamaanisha.
POSHO ZA WABUNGE HAZITOLEWI KWA BATCH WALA HAZICHELEWESHWI, MAFUTA YA (SU) NA (DFP) ZA SERIKALI HAYAKOSEKANI ILA MIKOPO YA WANAFUNZI TUU... HAIWEZEKANI.
Kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba pesa
( LOAN) zinazotowa na serikali kupitia HESLB kwa wanavyuo vya elimu ya juu ni kwa masharti ya kurudishwa baadae na wahusika(wanavyuo)
Sasa utaratibu mpya ulioanzishwa na bodi wa kuvipa-mandate Vyuo husika kuweka pesa kwa wanafunzi imeongeza uvivu,uzembe na hata ubadhirifu ktk Loan offices kwa baadhi ya Vyuo. Mathalani, Continuing students ktk vyuo vingi vikiwemo UD na UDOM wamekuwa wakilalamika kutopewa Mikopo yao mpaka leo tangu vyuo vimefunguliwa, wakiuliza sehemu husika(Loan office) utasikia Una-Incomplete mara Matokeo ya kozi yako tulichelewa kuyatuma bodi ya mikopo na wakikuhurumia sana watakwambia swala lako lipo ktk mchakato.
Hali ni tofauti zaidi ktk chuo kikuu cha Dodoma, maana kwa taarifa tuu ni kwamba baadhi ya wanafunzi ktk kozi kadhaa hawana hata matumaini ya kupata hizo pesa zao ktk SEMESTER hii. Vijana wanaishi ktk maisha ya kutisha na kusikitisha kama siyo kukatisha tamaa kabisa.
UDOM swala la BATCH ndilo lilotawala, utasikia vijana hawa wakifarijiana kwa maneno kama "JINA LANGU LIPO BATCH YA 14, LABDA ITATOKA WIKI IJAYO". Utakuta kijana huyu anazungumza maneno haya akiwa hana hata uhakika wa kupata kipande cha mkate ktk siku husika. Inatisha sana ndugu wana-JF
Sasa, hata hizo BATCH zitolewapo na wanafunzi wenye bahati ya mtende kupata fursa ya kusaini kwa ajili ya kuhakiki akaunti zao, hali huwa tofauti ktk kuwekewa hizo pesa. Mathalani, UNAWEZA KUSAINI LEO TAR.29/11 ILA UKAKAA WIKI TATU BILA PESA KUINGIA KTK AKAUNTI YAKO, Sasa Management na Loan Office UDOM wapo kwa ajili ya nini, bila ya hawa wanafunzi wanaowanyanyasa Leo hii kwa majibu ya kukatisha tamaa wao Wafanyakazi wangekuwepo kwenye hizo Office wanazolingia na viti vya kuzunguka? HUU NI UPUMBAVU NA UDHARIMU MKUBWA SANA
SOCIAL SCIENCE ni mfano wa wahanga wa swala hili, takribani 51% ya wanafunzi wa SOCIAL SCIENCE hawajapewa pesa zao, Sasa hawa watu
1.Wanakula na kunywa nini?
2.Wanaandika na kusoma kwa kutumia nini?
3. Kuna mwanafunzi kuelewa kipindi akiwa hana uhakika wa kula baada ya kipindi?
4.Taifa linaandaa wasomi wa aina gani au wanaandaa MAKOMANDOO, MA-MAFIA NA WAZAMIAJI?
Naomba Umma uelewe wazi kwamba ktk hali kama hii MIGOMO, FUJO NA HATA MAANDAMANO itabaki kuwa suruhu yetu ktk kutatua matatizo yetu, mpaka hapo Serikali watakapo elewa nini hasa tunamaanisha.
POSHO ZA WABUNGE HAZITOLEWI KWA BATCH WALA HAZICHELEWESHWI, MAFUTA YA (SU) NA (DFP) ZA SERIKALI HAYAKOSEKANI ILA MIKOPO YA WANAFUNZI TUU... HAIWEZEKANI.