wadau naulizia kama kuna mtu anajua chochote kuhusu mradi unaoonekana kama umekufa wa boti ziendazo kasi Lake Victoria?Mbona kimya sana au wawekezaji wamebadili nia?
Hakuna cha kubadili nia, zilienda zikawa mbovu wakasingizia kuwa waliuziwa mafuta mabovu, kilichofuata ni kufungiwa na SUMATRA kwa kuwa kuna viwango fulani hawakuwa navyo, thereafter it is the HISTORY, bora maghufuli aliwakatalia, wangeleta uharibifu/usumbufu kwa boat amabazo zingefanya kazi kwa miezi miwili na kuwekwa juu ya mawe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.