Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Zikiwa zimebaki siku 15 tu kupiga kura Jibu swali hili? Tunakwenda wapi WATANZANIA? ( VISION)
Mi mara ya kwanza kumiriki gari ilikuwa 2004. Nilikuwa nanunua bei ya Petroli Tsh. 360 kwa lita!!!!!. Kwa sasa kwa mafuta hay ohayo ambapo TZ ilikuwa inanunua product hiyo nje, baada ya miaka 6, bei hiyo yamafuta kwa sasa ni Tsh, 1800!!!!!.
HAPA WATANZANIA TUNAFANYA MAAMUZI NA SI MZAHA WA KUPEWA TISHETI NA KOFIA KUCHAGUA VIONGOZI.
Maisha ya nchi hii yako mikononi mwangu na wewe. Vizazi vyetu vitatuhukumu kwa kura za tar 31/10/2010. Tuache ushabiki, hapa ni kazi tu. All the best wanaJF na weekend njema.
Mi mara ya kwanza kumiriki gari ilikuwa 2004. Nilikuwa nanunua bei ya Petroli Tsh. 360 kwa lita!!!!!. Kwa sasa kwa mafuta hay ohayo ambapo TZ ilikuwa inanunua product hiyo nje, baada ya miaka 6, bei hiyo yamafuta kwa sasa ni Tsh, 1800!!!!!.
HAPA WATANZANIA TUNAFANYA MAAMUZI NA SI MZAHA WA KUPEWA TISHETI NA KOFIA KUCHAGUA VIONGOZI.
Maisha ya nchi hii yako mikononi mwangu na wewe. Vizazi vyetu vitatuhukumu kwa kura za tar 31/10/2010. Tuache ushabiki, hapa ni kazi tu. All the best wanaJF na weekend njema.