Nimecheka hadi machozi!
Naona hapa kuna stori nyingi zinaingiliana nie ningeenda kufaidika na conclussions zote,
je kuna tofauti kati ya ngono na mapenzi, sex na love, kupta mpya na kufaidi na kuondoka au kuishi nae kama mke mama wa watoto wako, wa kutoka kabila moja au jingine, wa kutoka mkoa au ukanda mmoja au mwingine, waliosoma au ambao hawajasoma, wanaoishi vijijini au mijini, walioenda unyago au ambao hawajaenda wenye kuitegemea kiuchumi au tegemezi
Naona hapa kuna stori nyingi zinaingiliana nie ningeenda kufaidika na conclussions zote,
je kuna tofauti kati ya ngono na mapenzi, sex na love, kupta mpya na kufaidi na kuondoka au kuishi nae kama mke mama wa watoto wako, wa kutoka kabila moja au jingine, wa kutoka mkoa au ukanda mmoja au mwingine, waliosoma au ambao hawajasoma, wanaoishi vijijini au mijini, walioenda unyago au ambao hawajaenda wenye kuitegemea kiuchumi au tegemezi