Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,063
- 79,089
Hivi ikitokea Filikunjombe, Nassari na Mdee walisema Zitto anafaa kuwa Rais/ni Rais ajaye; nini mustakabli wao katika siasa? na credibility ya hawa wanasiasa itakuwa vp? na popularity ya Zitto itakuwa vp? yangu mie masikio na macho kusubiria hizo tapes zenye ushaidi wa record zao!