Ooh My God!
Jesus!
Yesu na maria
WTF!
I knew it!
hahahaha (unacheka umepata kisingizo cha kuachana)
Its over
we need to talk!
I love u hahahahaha(ya kinafki)
Awussubillahi!!!
Mmhh(utaghuna)
lol
na kurudiana pia inahitaji moyo[/QUOTE
huh!!!
unataka moyo wako utobolewe mara ngapi?
una moyo mgumu
mi hapo hakuna kurudiana,ni kuachana mazimaishawahi kunitokea. ila nilishuhudia via dirishani. nikaenda kuwasubiri mlangoni wafungue. walibishana mwisho wakafungua, kabla hawajafungua nilikwenda dukan nikanunua nyembe mbili, nikajiapiza kumchana chana yule mdada but alivotoka nikamwonea huruma kwan kilikuwa kitoto cha form 4. kiliondoka nami nikaingia kwa bf wangu nikabeba vikorokoro vyangu kimya kimya nikaenda kwangu.badae nikaenda kwa dada wiki nzima bila kuaga hapo kwangu na alikuwa hapafahamu kwa dada, baada ya wìk ali-apologise tukarudiana