Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Mhh:A S tongue:
Unathubutu kuandika haya hapa mama? Dah!
Haya wakati unafanya huo uhuni, ndoa yako ilikuwa na umri gani?
FL1 cjui nikujibu nn, lakini ni kitu hua haiko planned, unajikuta imehsatokea tu umedo na unajuta labda ikitokea kwako utaelewa!
mmh! unayvojitia kushangaa!!!!!!!!!!!!Etiii????
Hebu mshaurini anitafute kwa PM basi ili ni-do the needful....
Mhh:A S tongue:
Jeez kumbe huwa inatokea naturaly ?:A S 39:
mmh! unayvojitia kushangaa!!!!!!!!!!!!
kwan gaijin hujawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti b4 marriage na je kama alikuwa after marriage urafiki ulikufa?
hiv inakuwaje MUME ataka kusawazisha hali ya hewa na kurejesha mapenzi afu anagundua mkewe mpendwa kapopolewa( had side B)na huyo'rafiki yake wa kiume'... si ndo mwanzo wa kutenganishana vichwa na viwiliwili au...!!?!
ni lazima ukubali kwamba mlikuwa na hisia za kutamaniana kichwani mwenu kabla hiyo the so called "unplanned scenario", kale kamchezo ka baba na mama ni tabu kutokezea bila saikolojia yako kuwa positive toward your partner. usishangae hata hiyo migogoro ya ndoa uliianzisha baada ya kuwa na hisia na hiyo njemba "rafiki" yako.FL1 cjui nikujibu nn, lakini ni kitu hua haiko planned, unajikuta imehsatokea tu umedo na unajuta labda ikitokea kwako utaelewa!
ni lazima ukubali kwamba mlikuwa na hisia za kutamaniana kichwani mwenu kabla hiyo the so called "unplanned scenario", kale kamchezo ka baba na mama ni tabu kutokezea bila saikolojia yako kuwa positive toward your partner. usishangae hata hiyo migogoro ya ndoa uliianzisha baada ya kuwa na hisia na hiyo njemba "rafiki" yako.
lol ulikuwa mbado kujua FL1 .......:fish2:
At least leo mzee umekuwa na maadili. No of topic............Straight to the point. Hebu jigongee mwenyewe hapo.
Alisema hivi:eh! umesemaje?
hehehe nafanya mapractice , kuna kijiji wanataka kunipa kazi la ushauri nasaha wa ndoa zao.
huyu "mom" anazunguka tu kujipa moyo, lakini ukweli uko ndani ya post yake. nitamPM baadae kumpa njia mbadala.
eh! umesemaje?
ngoja niende hom watoto wanatoka shule sasa!