Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
wewe ni mwanamke/mwanaume una rafiki ambae mlipatana sana na kuheshimiana. wewe umeoa/kuolewa nae pia ana mwenzi wake, sasa inatokea kwenye ndoa yako kuna migogoro mingi inayopelekea hata kuiona ndoa chungu. rafiki yako huyu humshirikisha katika maamuzi shida zake na ni mshauri wako mzuri.
inatokea cku moja unaenda kwake baada ya kukorofishana na mwenzi wako huko home na unamkuta mwenyewe katika ile kukupoza upunguze hasira mnajikuta mko katika step nyingine ambayo hukutarjia na at the end mnafanya kitendo ambacho kimekua majuto kwako mpaka leo hii hutamani kumwona huyo rafiki tena!
inatokea cku moja unaenda kwake baada ya kukorofishana na mwenzi wako huko home na unamkuta mwenyewe katika ile kukupoza upunguze hasira mnajikuta mko katika step nyingine ambayo hukutarjia na at the end mnafanya kitendo ambacho kimekua majuto kwako mpaka leo hii hutamani kumwona huyo rafiki tena!