Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Nakusoma bila miwani!!Gosh ni kweli usemayo Sio njema kabisa Nguli haileti picha nzuri katika mahusiano ..Ila siku akija Denzel Washington nitaomba muzee anipe chance nikamkumbatie kidogo tu .....sijui mapromota watamleta lini ?
Pole Nguli kama yamekukuta..
Ni nini kinachokupelekea kuhisi kumkumbatia denzel?
Kuna wanawake wengi sana nimewasikia wakisema Denzel yupo poa sana.........wakimaanisha ni handsome/mzuri (sijui kama wanaume wanakuwaga wazuri!!)
Ki ukweli, wanakuwa wanatamani angekuwa mwanaume amabye wangempata au at least wa namna hiyo.
Sasa tueleze mama, wewe utataka kumkumbatia coz ana movie nzuri au coz unavutiwa naye ...kivipi, mo simo!!