Ikatokea kombora la nyuklia linarushwa kuelekea Marekani

Wengi mnaosema vita vya nyuklia vina mshindi, nadhani mtakua hamjui kwa nini Marekani na Urusi waliingia kwenye mkataba wa "Mutual assured destruction - MAD", huu mkataba unatambua kwamba
- Nchi husika, hata ikipigwa na nyuklia ya kwanza, ina uwezo wa kulipiza kisasi na kwa uzito pia
- Nchi husika, zina silaha za maafa makubwa na vita baina yao itasambaratisha dunia
- Kwamba kila nchi ina nyambizi zilizowekwa maeneo tofauti na zimejihami kwa silaha za nyuklia

Kwa kifupi, MAD ndio imezuia vita baina ya nchi zenye silaha za nyuklia, maana kwa mfano Mrusi akapeperusha mzinga dhidi ya Marekani, naye ajiandae maana muda usio mrefu kitu cha maafa makubwa kitatua kwake, na hapo itakua hakuna kuachia "ceasefire", pande zote mbili wataingia kwenye wenda wazimu wa kuachia mizinga kupepea hewani.
Washirika wao wenye mizinga kama hiyo hawatasazwa, itawabidi kuhusika pia, sisi na Afrika yetu itakua macho lakini kiaina tutaburuzwa tu.
 
Hpo kwenye ndege mpaka sasa 5th Gen aircraft ambayo IPO kwnye service in f22 raptor half hyo ndege ya warusi kuna sehem nilisoma kwamba India walikua wanalalamikia kuna vtu vibovu(japo sikumbuki ni vtu gan )kumbuka hyo ndege ni project ya pamoja kat ya russia na India,na hpo kwenye helicopter Apache ndo leader then anafata mrusi akiwa na Ka-52 alligator

Acha uongo India wameipata lini wakati test ya mwisho imekamilika last year na sasa ndo production kwa ajili ya majeshi ya Russia inaendelea? Export version bado. Halafu tambua export version haiwez kuwa sawa na ya Majeshi ya Urusi hata S- 300 YA KU EXPORT IKO TOFAUTI NA INAYO TUMIWA NA URUSI
 
Ngoja nichangie, Urusi anaogopa vita na NATO, FACT!, Pia NATO si wapumbavu Kurisk aina ya vita ambayo humu ndani tunaishabikia, Kuhusu aina Ya SILAHA Bora au si Bora ni suala na kimkakati, mfano US Hashindwi Kuunda Kombola moja kubwa la Nyuklia kama La URUSI(Tsar), badala yake ameunda Makombola ambayo ndani yake kuna makombola madogo Mengi yenye uwezo wa kuleta Athari sawa au Zaidi ya Lile moja Kubwa na kuyazuia si Rahisi kama watu wanavochanganua S-400, Pili marekani imewekeza kuzuia makombola katika hatua yake ya Mwanzo kuliko kuyasubilia yakaribie katika Ardhi yake ndio maana ameweka vituo vingi vya kijeshi nje ya Marekani na karibu na mipaka ya mahasimu wake na sasa anampango wa kupeleka THAAD huko S.Korea jambo ambalo linapingwa na UCHINA kwa sababu linadumaza maslahi ya Kijeshi ya Uchina.
 
Wengi mnaosema vita vya nyuklia vina mshindi, nadhani mtakua hamjui kwa nini Marekani na Urusi waliingia kwenye mkataba wa "Mutual assured destruction - MAD", huu mkataba unatambua kwamba
- Nchi husika, hata ikipigwa na nyuklia ya kwanza, ina uwezo wa kulipiza kisasi na kwa uzito pia
- Nchi husika, zina silaha za maafa makubwa na vita baina yao itasambaratisha dunia
- Kwamba kila nchi ina nyambizi zilizowekwa maeneo tofauti na zimejihami kwa silaha za nyuklia

Kwa kifupi, MAD ndio imezuia vita baina ya nchi zenye silaha za nyuklia, maana kwa mfano Mrusi akapeperusha mzinga dhidi ya Marekani, naye ajiandae maana muda usio mrefu kitu cha maafa makubwa kitatua kwake, na hapo itakua hakuna kuachia "ceasefire", pande zote mbili wataingia kwenye wenda wazimu wa kuachia mizinga kupepea hewani.
Washirika wao wenye mizinga kama hiyo hawatasazwa, itawabidi kuhusika pia, sisi na Afrika yetu itakua macho lakini kiaina tutaburuzwa tu.

Tatizo kubwa liko kwenye Nucler na hapo ndo mataifa mengi ya NATO huwa yanasita, make wao wanaomba vita yao na Urusi ikipiganwa basi kusiwepo nu kutumia Nuclear kitu ambacho hakiwezekani.

Ila ukweli ni kwamba Vita yoyote ya Nuclear itamanisha mwisho wa Dunia, hakutakuwa na maisha baada ya hapo hilo linajulikana na lisha ongelewa sana kwamba vita ya Nuclear itakuwa ndo mwisho wa maisha.

Na mpaka waje wapigane basi ujue uvumilivu umefikia kikomo, make si bunge la Marekani wala Bunge la Urusi linalo weza kuidhinisha vita baina ya hayo mataifa mawili.
 
Wengi mnaosema vita vya nyuklia vina mshindi, nadhani mtakua hamjui kwa nini Marekani na Urusi waliingia kwenye mkataba wa "Mutual assured destruction - MAD", huu mkataba unatambua kwamba
- Nchi husika, hata ikipigwa na nyuklia ya kwanza, ina uwezo wa kulipiza kisasi na kwa uzito pia
- Nchi husika, zina silaha za maafa makubwa na vita baina yao itasambaratisha dunia
- Kwamba kila nchi ina nyambizi zilizowekwa maeneo tofauti na zimejihami kwa silaha za nyuklia

Kwa kifupi, MAD ndio imezuia vita baina ya nchi zenye silaha za nyuklia, maana kwa mfano Mrusi akapeperusha mzinga dhidi ya Marekani, naye ajiandae maana muda usio mrefu kitu cha maafa makubwa kitatua kwake, na hapo itakua hakuna kuachia "ceasefire", pande zote mbili wataingia kwenye wenda wazimu wa kuachia mizinga kupepea hewani.
Washirika wao wenye mizinga kama hiyo hawatasazwa, itawabidi kuhusika pia, sisi na Afrika yetu itakua macho lakini kiaina tutaburuzwa tu.

Tatizo kubwa liko kwenye Nucler na hapo ndo mataifa mengi ya NATO huwa yanasita, make wao wanaomba vita yao na Urusi ikipiganwa basi kusiwepo nu kutumia Nuclear kitu ambacho hakiwezekani.

Ila ukweli ni kwamba Vita yoyote ya Nuclear itamanisha mwisho wa Dunia, hakutakuwa na maisha baada ya hapo hilo linajulikana na lisha ongelewa sana kwamba vita ya Nuclear itakuwa ndo mwisho wa maisha.

Na mpaka waje wapigane basi ujue uvumilivu umefikia kikomo, make si bunge la Marekani wala Bunge la Urusi linalo weza kuidhinisha vita baina ya hayo mataifa mawili.
 
Ngoja nichangie, Urusi anaogopa vita na NATO, FACT!, Pia NATO si wapumbavu Kurisk aina ya vita ambayo humu ndani tunaishabikia, Kuhusu aina Ya SILAHA Bora au si Bora ni suala na kimkakati, mfano US Hashindwi Kuunda Kombola moja kubwa la Nyuklia kama La URUSI(Tsar), badala yake ameunda Makombola ambayo ndani yake kuna makombola madogo Mengi yenye uwezo wa kuleta Athari sawa au Zaidi ya Lile moja Kubwa na kuyazuia si Rahisi kama watu wanavochanganua S-400, Pili marekani imewekeza kuzuia makombola katika hatua yake ya Mwanzo kuliko kuyasubilia yakaribie katika Ardhi yake ndio maana ameweka vituo vingi vya kijeshi nje ya Marekani na karibu na mipaka ya mahasimu wake na sasa anampango wa kupeleka THAAD huko S.Korea jambo ambalo linapingwa na UCHINA kwa sababu linadumaza maslahi ya Kijeshi ya Uchina.
wewe ilo swala la kuwa eti nuclear inazuilika nani kasema.ivi ebu fikiria tu we mwenyew izo anti-missile uzito wake auzidi hat tani 10 leo hii ije kuzuiya kombora la tani 200.kusoma ujui hata picha uwoni
 
mpaka watu wamewekeana mikataba sio wajinga kam wew unavyofikir wanajua vizur kuw nuclear inawez ikafika hadi kweny bunker(maandaki) waliyoyatengenez kw ajir ya kujifichia endapo vita itaanza
 
Ngoja nichangie, Urusi anaogopa vita na NATO, FACT!, Pia NATO si wapumbavu Kurisk aina ya vita ambayo humu ndani tunaishabikia, Kuhusu aina Ya SILAHA Bora au si Bora ni suala na kimkakati, mfano US Hashindwi Kuunda Kombola moja kubwa la Nyuklia kama La URUSI(Tsar), badala yake ameunda Makombola ambayo ndani yake kuna makombola madogo Mengi yenye uwezo wa kuleta Athari sawa au Zaidi ya Lile moja Kubwa na kuyazuia si Rahisi kama watu wanavochanganua S-400, Pili marekani imewekeza kuzuia makombola katika hatua yake ya Mwanzo kuliko kuyasubilia yakaribie katika Ardhi yake ndio maana ameweka vituo vingi vya kijeshi nje ya Marekani na karibu na mipaka ya mahasimu wake na sasa anampango wa kupeleka THAAD huko S.Korea jambo ambalo linapingwa na UCHINA kwa sababu linadumaza maslahi ya Kijeshi ya Uchina.
sio urusi tu ata NATO anaogopa kupigana na mrusi vita ya nuclear sio vita nzur kbs ndo maan mpk leo usa analalamika kuhusu korea na makombora yake..... alafu kwann hakuna nchi moja inayoweza kupigna na russia one against one mpk iwe NATO against russia na NATO ni munganiko wa nchi 28....ili Swali jiulize sana aisee
 
Ngoja nichangie, Urusi anaogopa vita na NATO, FACT!, Pia NATO si wapumbavu Kurisk aina ya vita ambayo humu ndani tunaishabikia, Kuhusu aina Ya SILAHA Bora au si Bora ni suala na kimkakati, mfano US Hashindwi Kuunda Kombola moja kubwa la Nyuklia kama La URUSI(Tsar), badala yake ameunda Makombola ambayo ndani yake kuna makombola madogo Mengi yenye uwezo wa kuleta Athari sawa au Zaidi ya Lile moja Kubwa na kuyazuia si Rahisi kama watu wanavochanganua S-400, Pili marekani imewekeza kuzuia makombola katika hatua yake ya Mwanzo kuliko kuyasubilia yakaribie katika Ardhi yake ndio maana ameweka vituo vingi vya kijeshi nje ya Marekani na karibu na mipaka ya mahasimu wake na sasa anampango wa kupeleka THAAD huko S.Korea jambo ambalo linapingwa na UCHINA kwa sababu linadumaza maslahi ya Kijeshi ya Uchina.
ayo makombora madogo madogo unayosema mrusi anayo since Cold war na pia anayo tsar bomber in short vita kati ya usa na mrusi one against one ni ngumu kutokea kaa ukijua kbs pale itakapozuka ii vita kuna mkorea ambae hapatan na hawa usa ataingilia mchina ataingilia ndo maan aya mataifa ua yanaishia Cold war tu
 
wewe ilo swala la kuwa eti nuclear inazuilika nani kasema.ivi ebu fikiria tu we mwenyew izo anti-missile uzito wake auzidi hat tani 10 leo hii ije kuzuiya kombora la tani 200.kusoma ujui hata picha uwoni
Newton's Third Law of Motion "For every action there is an equal and opposite reaction."
kombola linaweza kutunguliwa likiwa kwenye njia yake(Trajectrory Path), Now think what if shot from either side.
 
mpaka watu wamewekeana mikataba sio wajinga kam wew unavyofikir wanajua vizur kuw nuclear inawez ikafika hadi kweny bunker(maandaki) waliyoyatengenez kw ajir ya kujifichia endapo vita itaanza
Unadhani kwa nini waliwekeza na wanaendelea kuwekeza kwenye teknolojia ya kudungua makombora.
 
wewe ilo swala la kuwa eti nuclear inazuilika nani kasema.ivi ebu fikiria tu we mwenyew izo anti-missile uzito wake auzidi hat tani 10 leo hii ije kuzuiya kombora la tani 200.kusoma ujui hata picha uwoni
Nakwakuongezea nyuklia sio lisasi unaweza kutumia bullet proof ile ikipasuka inatambaa kwa hewa sasa sijui utizuia isilipuke au hewa isisambae?
 
Nakwakuongezea nyuklia sio lisasi unaweza kutumia bullet proof ile ikipasuka inatambaa kwa hewa sasa sijui utizuia isilipuke au hewa isisambae?
Ngojen niwasaidie kidog niliangalia documentary moja inasema mabom ya nuclear kutumika yenyew kama yenyew kwa ss ni ngum sabab yale yanabebwa na ndege kupelekwa sehem ya kulipua ayatumwi na rocket na kwa ss russia na mmarekan wana air defence sstm kubwa na imara so io ndege inaezwa lipuliwa bila kufika targeted area so nchi nying zinafanya ni ku upgrade silaha za nuclear na kua vikombora ving vidogo vidogo vinazo bebwa na kombora moja kubwa lenye uzito wa kawaida ss apo kwenye io technolojia wanayo wachache mmoja wapo ni mrusi na usa kwa info zaidi nenda youtube andika SATAN russia weapon uone izo bombs ndo maan mkorea kajaribu kulipua bomb kwa rocket na mmarekan kalalamika sana
 
siraha za mrusi uwa azitaji majaribio mia moj kam wanavyofany Usa na washilika wake,waulize isis kuhusu su-35 kam imeenda tofauti na matalagio
Ata kuandika hujui...rudi kule facebook kwa ma chalii wenzako....
Nkuulize swali dgo tuu...hao isis wana system yoyote ya kudungua izo su-35?...
 
namuona mrusi anapenda sana propaganda na hivyo vitu vyote wanavyo visifia unaweza ukute havina uwezo huo.

Mm na muona mmareka ni mtu mbaya sana kwasababu huwa anagundua vitu vingi sana na huwa hajitangazi na tena hii miaka ya karibuni mmarekani amejifua sana maswala ya vita.
 
Ngojen niwasaidie kidog niliangalia documentary moja inasema mabom ya nuclear kutumika yenyew kama yenyew kwa ss ni ngum sabab yale yanabebwa na ndege kupelekwa sehem ya kulipua ayatumwi na rocket na kwa ss russia na mmarekan wana air defence sstm kubwa na imara so io ndege inaezwa lipuliwa bila kufika targeted area so nchi nying zinafanya ni ku upgrade silaha za nuclear na kua vikombora ving vidogo vidogo vinazo bebwa na kombora moja kubwa lenye uzito wa kawaida ss apo kwenye io technolojia wanayo wachache mmoja wapo ni mrusi na usa kwa info zaidi nenda youtube andika SATAN russia weapon uone izo bombs ndo maan mkorea kajaribu kulipua bomb kwa rocket na mmarekan kalalamika sana
Afadhali unasema ukweli watu wamekalia ubishi na ushabiki, Ndio maana pia Marekani inamazungumzo na S.Korea ili waweke mitambo ya Kudungua makombora karibu sana na N.Korea
 
namuona mrusi anapenda sana propaganda na hivyo vitu vyote wanavyo visifia unaweza ukute havina uwezo huo.

Mm na muona mmareka ni mtu mbaya sana kwasababu huwa anagundua vitu vingi sana na huwa hajitangazi na tena hii miaka ya karibuni mmarekani amejifua sana maswala ya vita.
Hakuna nchi zenye propaganda kubwa dunian kama nchi za magharibi fatilia iv vitu utajua tu kwanza dunia yote ilikua inajua kua nchi mbil tu dunian US na UK ndo zina submarine zenye uwezo wa kurusha makombora ya masafa marefu russia hakuwai kujitangnaza ila kaja kaitumia syria mrusi inarusha makombora from caspian sea to syria ndio us akashituka iv nchi mbil zinajuana zenyewe ww ziache tu nchi yenye tabia ya kutangaza silaha zake ni north korea
 
Afadhali unasema ukweli watu wamekalia ubishi na ushabiki, Ndio maana pia Marekani inamazungumzo na S.Korea ili waweke mitambo ya Kudungua makombora karibu sana na N.Korea
sawa kbs ndo maan leo ii mmarekan analazimisha nchi zilizo karibu na urusi zijiunge NATO ili apeleke silaha zake na mrusi atak ndo maan akaivamia ukraine na mwaka 2008 akaivamia georgia pia usa kafanya urafik na south korea ili awez kumthibit north korea ambae amekua mbshi sana
 
Back
Top Bottom