mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,651
tatizo mnaongea tu pasipo kuelew
haina mshindi kivipi,mshindi si ambaye watu wake watakuwa wamekufa wachache-na kwa kutumia kigezo gani hadi useme haina mshindi maana toka dunia inaanza hamna vita ya namna hiyo ilisha wahi kutokeausa ana missiles defence systems ila nafkir iko designed ili kuzuia missiles ndogo ndogo kutoka Iran au north korea sio Russia au china. mfano Russia wana uwezo wa kurusha nuclear missiles hata 100 kwa pamoja, systems za usa zikifanikiwa kuzuia hata 90 tu kati ya izo 100 bado izo 10 zilizobaki zitauwa ma million ya watu. ndo mana usa na Russia hata siku moja hawawezi kupigana coz vita ya nuclear haina mshindi
Not Nuklear War My friend! Tena Unam-bomb Mwenye Nuks Kama wewe? Maana Naye ataziachilia Kwako,in Brobdingnagian/vast quantity. So,is Loose Loose situation. Kama umesoma Majadiliano hapo ya Analysts wa Quora.com, USA ameweka stations tele kila kona ya dunia,which means,Ndiyo ukiyatuma katika ardhi yake,yes utaangamiza watu tele,but You definitely be fucking your own Ass, I mean, they'll https://jamii.app/JFUserGuide you too!kila vita inakuwa na mshind
Ule Uzi wa #3 katika special forces duniani niliamua kupita kimya tu...maana watu walikua wanabisha ni kweli,kweli tunatofautiana uelewa!
!
Nyoko nyoko nyoko eti tanzania ya tatu... Mfyuuuu
Mwache ajidanganye tu na propadanda za RT....Muulize tu kwa mfano izo s-400/500 za kirusi,zimewahi kuwa tasted kweny vita gani zikaonekana effective kama wengi weni humu mnaviisifia?....Silaha yyte bila kujaribiwa vitan ikaonekana effective kwa ku tackle challengea,huwez ukaswma ipo vizur zaid ya nyingnee....kwa mfano mdogo tuu 'iron dome' ya israel ilifanya kaz vizur sana wakat wa vita ya hamas...Finaly ikawa kinara kweny uuzwaji nje na ikashika no 1 kwe uuzaji mwaka 2014/15.....
Em jiulize tuu..kama silaha za marekani ni hafifu kama wengi mnavosema humu..ni kwa nni nchi nying zeny uwez huwa wanapendelia kununua silaha za marekani na sio za urusi jalo ni cost ndogo kulinganinsh na za usa?....
Mfano F-15/16 ndeg za marekan,karibia kila nchi ulaya zimenunua izi ndege why?...kwa nini wasinunue izo MIG na Su za russia?...
Kuna kitu cha kujifunza hapa...
Silaha bila kifanyiwa test vitani bado sana..
Hpo kwenye ndege mpaka sasa 5th Gen aircraft ambayo IPO kwnye service in f22 raptor half hyo ndege ya warusi kuna sehem nilisoma kwamba India walikua wanalalamikia kuna vtu vibovu(japo sikumbuki ni vtu gan )kumbuka hyo ndege ni project ya pamoja kat ya russia na India,na hpo kwenye helicopter Apache ndo leader then anafata mrusi akiwa na Ka-52 alligatorMkuu ma
Mkuu majaribio huwa yanafanywa na nchi yenyewe, kwa sasa Urusu anafanyia majaribio yake S-500, wana mfumo wa kutest kwa akili yako unazani hii mifumo inajaribiwa vitani?
Halafu kumbuka kwamba tangu vita kuu ya pili ya Dunia hakuna vita kubwa iliyo wahi kupiganwa tena,hizi vita za Iraqi mara Syria mara Libya ni vita ndogo sana.
Usitarajie vita kama za syria Urusi apeleke makombola kama SATAN kule au BULAVA.
Kwani Nuclear walizo nazo wakina Israeli, USA, na wengineo zimajaribiwa wapi? kwa sababu zile za Japani kwa sasa zisha pitwa na wakati.
KUHUSU SIRAHA KUUZA
- Urusi wanunuzi wake wakuu wa siraha ni Nchi za Asia kama China, India, Indonesia, Veitnam, na wengineo.
- Mashariki ya kati- Syria, Irani, Iraki ameanza kununua siraha za urusi tena, hata kibaraka namba moja wa USA yaani Saudia na yeye yuko kwenye mpango wa kununua siraha za Urusi.
- America ya kusini- CUBA, VENEZUELA, COLOMBIA, BRAZIL, na wengineo
-Africa- Algeria na Misri
USA anauza sana siraha zake Ulaya tena kwa member wake wa NATO na hayo ni mashariti ambayo huwapatia na vinginevyo anakuwa hatoi sapoti kubwa.
ASIA- Japani, Taiwan, Korea kusini, Philipine
MASHARIKI YA KATI- SAUDIIA NA WENGINEO, NA ISRAEL
AFRICA- MOROCO sana
UBORA WA SIRAHA ZA URUSI
-Urusi bado anasimama kama taifa lenye siraha bora kabisa ulimwenguni- Ukitaja top 5 ta vifaru basi huwezi kosa vifaru vya urusi vikiwa sehemu mbili tofauti.ukitaja Helcopta za kijeshi wao ni number one.
- Nyambizi ndo kabisa na zipo ambazo zinapiga misele hadi kule Miami marekani bila kushitukiwa
Hii hapa ndo imetengenezwa kwa ajili ya kubebea Bulava Misaile-BULAVA ni makombola mapya kabisa.
-Ndege yuko vizuri sana
- Kwa sasa anatoa PAK-FA-Hii ni generation ya 5
Hii production kwa ajili ya jeshi inaanza mwaka huu wakati Export Vasion mpaka kwenye 2020
Helcopta
- M-26 hii hina mpinzani na hadi NATO wanazo, ogopa NATO wanatumia M-26
VIFARU SASA
Hii ni T-14 Armata tank, haina mpinzani ndo kifaru bora kabisa na chenye nguvu kwa sasa na kumbuka bado anavyo vyenye nguvu na bora
MISSAILE(MAKOMBOLA YA KUWEZA KUBEBA NUCLEA
Hapa sasa ndo huwa ni uwanja wa nyumbani wa Urusi na kama kuna sehemu NATO wanapo kosa usingizi ni nguvu za Urusi kwenye makombola, kwenye makombola Russia hana mshindani na hiyo Pentagon wanalijua.
Kwenye makombola ndo sehemu iliyo fanya USA akaomba mkataba baina yake na Urusi mkataba wa kupunguza nuclear START
SINEVA MISAILE
R-29RMU
Type Strategic SLBM
Place of origin Russia
Service history
In service 2007–present
Used by Russian Navy
Production history
Manufacturer ZMZ / KMZ
Specifications
Weight 40.3 tonnes
Length 14.8 meters
Diameter 1.9 m
Warhead 4 MIRV or 8 MIRV with smaller yield
Engine three-stage liquid propellant
Operational
range
8,300 km (max range),[1][2] longest distance ever reached with least payload is 11,547 km [3]
Guidance
system
Astroinertial
Accuracy 500 meters[1][2]
sineva inabebwa na NYAMBIZI KAMA ILIVYO KWA BULAVA
2. MULAVA MISAILE
R-30 (RSM-56) Bulava [1]
Bulava missile variants
Type SLBM
Place of origin Russia
Service history
In service 10 January 2013[2]
Used by Russian Navy
Production history
Designer Moscow Institute of Thermal Technology
Manufacturer Votkinsk Plant State Production Association
Produced 2011
Specifications
Weight 36.8 t (36.2 long tons; 40.6 short tons)
Length 11.5 m (38 ft) (without warhead)
12.1 m (40 ft) (launch container)
Diameter 2 m (6 ft 7 in) (missile)
2.1 m (6 ft 11 in) (launch container)
Warhead 6 (can carry 10) re-entry vehicles with a yield of 150 kt each.[3]
Engine three stage, Solid-fuel rocket and Liquid-propellant rocket
Propellant solid propellant and liquid fuel
Operational
range
8,000-8,300 km[4][5][6]
Guidance
system
inertial guidance, possibly Astro-inertial guidance with and/or GLONASS update
Accuracy 350 meters[4]
Launch
platform
Borei-class submarines
Typhoon-class submarine Dmitri Donskoi
2 SATAN MISAILE
R-36M; NATO reporting name: SS-18 Satan
Type Intercontinental ballistic missile
Place of origin USSR
Service history
In service 1974–present (only R-36M2 Voevoda variant)
Used by Soviet and Russian Strategic Rocket Forces
Production history
Manufacturer Yuzhny Machine-Building Plant
Specifications
Weight 209,600 kg (462,100 lb)
Length 32.2 m (106 ft)
Diameter 3.05 m (10.0 ft)
Warhead Three stage fission-fusion-fission, over 20 Mt of TNT
Detonation
mechanism
Airburst
Engine Two-stage liquid propellant
Operational
range
10,200–16,000 km
Speed Mach 23+
Guidance
system
Inertial, autonomous
Accuracy 220–700 m CEP
Launch
platform
Silo
4. TOPOL -M
SS-27 "Sickle B"
A Topol-M on MZKT-79221 mobile launcher during rehearsals for the 2012 Moscow Victory Day Parade.
Type Intercontinental ballistic missile
Place of origin Russia
Service history
In service December 1997–present
Used by Russian Strategic Missile Troops
Production history
Designer Moscow Institute of Thermal Technology
Manufacturer Votkinsk Machine Building Plant
Produced December 20, 1994–2010
Specifications
Weight 47,200 kg (104,000 lb)
Length 22.7 m (74.47 ft)
Diameter 1.9 m (6 ft 3 in)
Warhead Single 800 kt warhead [1]
Engine Three-stage Solid-fuel rocket
Operational
range
11,000 km (6,800 mi)
Speed 7,320 metres per second (26,400 km/h; 16,400 mph; Mach 22) .[2]
Guidance
system
Inertial with GLONASS
Accuracy 200 m CEP[2]
Launch
platform
R-46 hii hutumwa kwenye ORBIT anga za juu,
Hyo S-400 imetestiwa wapi,mbna mwak Jana Israel aliingia Syria kalipua,he hyo S400 ilkua wapiHivi. Mpaka sasa USA hajafikia level kitechnologia.. kuzidi Technologia. Ya S -400 ya Russia
Kulingana na sources flan..niliyosoma tecnnologia ya S-400 Russia..wamewauzia inchi chache sana...katika hiyo list Syria haipo..ndo maana Israel ilikuwa rahisi kunepenetrate anga yakeHyo S-400 imetestiwa wapi,mbna mwak Jana Israel aliingia Syria kalipua,he hyo S400 ilkua wapi
Kwani hukusikia km Russia alipeleka S-400 Syria baada ya ndege yake kutunguliwa na Turkey?Kulingana na sources flan..niliyosoma tecnnologia ya S-400 Russia..wamewauzia inchi chache sana...katika hiyo list Syria haipo..ndo maana Israel ilikuwa rahisi kunepenetrate anga yake
Ya hiyo nilisikia lakin iyo walideploy recently.. kwa uhamuzi wa Russia peke yake haikuwa deal la ichi. MbiliKwani hukusikia km Russia alipeleka S-400 Syria baada ya ndege yake kutunguliwa na Turkey?
Hapo tuangalie muda, Israel alishambulia lini na urusi walipeleka lini s-400Kwani hukusikia km Russia alipeleka S-400 Syria baada ya ndege yake kutunguliwa na Turkey?