mi ntasalia pale st peter tukitoka tuanzie wapi ?Asprin leo utaenda Njia ya Msalaba?
Twende wote basi, nitakupitia nikitoka kazini. au unipigie kwenye 0713101235.
Hebu eleza kiundani zaidi.
Tia nyama kidogo.
Utaenda njia ya msalaba leo?
Lol Vivian nimekumbuka ndo nkikawa nataka kuondoka ila nikaamua kupitia kidogo ChitChat ndo nimekutana na Thread yakoAsprin leo utaenda Njia ya Msalaba?
Asprin leo utaenda Njia ya Msalaba?
niko hapa Nje nakusubiri. usisahau Rosary