Leo nadhani ni Alhamisi jumlisha moja....mida sijui ila najua ni mchana na mkoloni wangu lazima atorokwe.
Vigezo na masharti kuzingatiwa. Hommie kesho ni Jumapili toa moja. Siku maalum kwa vitu maalum afu jumapili tunawahi kanisani kusali sala maalum. Kuna sehemu umemuona Mentor?
Mentor vipi kiuno chako kwa leo? ile tiba ya majani ya mpapai niliyokupa jana vipi? ilikuhelp?Hahah babu Asprin nipo around nimesikitishwa tu huku ofisini kutokana na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea...sijaweza kufanya kazi yoyote apa najifanya bize na computer (the beauty of being a programmer)...mida iishe niondoke...mayb Tuesday toa moja nitakuwa fine!
So babu, wapi hiyo mahali aisee nije nipunguze stress aise..i really nid dat!!! so sad....:sad:
khaa! nimekubamba, kumbe unakulaga kwa watu despite effort zangu za kukupikia na kukuandalia ma launch box? yaaani hapa umetangaza vita leo sitaki kuskia cha nini wala nin kumbe wanaume ndo mlivyo. sasa na uroda urudi huko huko.
Ukishamaliza kucheka uniambie hapa wewe na Young_Master mlikuwa mnafanya nini.Asprin leo ndio nimeamini kuwa kichwa chako sio kizuri, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimecheka sana! kha! hiyo kama ndio diet wacha ikae tu wallah!
bebii nakuja, namalizia kujipulizia unyunyu.....leo nivae shanga ya gold au za kimasai.....
nilikuwa namuonyesha jipu langu kwenye mapaja, na ye akasema analo jipu kiunoni kwa nyuma, ndio tulikuwa tunaonyeshana! lol!
Hommie Kaizer hebu mwambie BADILI TABIA awahi asee.... Mie subiri sana yeye.Hivi hapa maongezi ya shanga yanaruhusiwa?
Waaaaoooh.... Umetoka bomba..... Nami nshatoka saluni kushevu....usijali nakuja, nilikuwa namalizia kunawa uso....
View attachment 57194
wanja, uturi vyote viko fresh.....
View attachment 57195
ndo natoka sasa najaaaa...................
Hivi hapa maongezi ya shanga yanaruhusiwa?