wow Meet me there at 10Pm please!!!
morning?Mhh!!
Watu mna swaga,HILTON.
KARIBU,
umeamkaje lakini...
au una kubwa zaidi la kumzidi vivian nikupe chance ya leo?
maana mm naangalia service PROVIDER mko vip..panda dau kama vip.
morning?
Sisi tutakuwa bagamoyo leo unaonaje?
Morning tajiri langu,
umeamka swalama?
Bagamoyo na mfungo huu kumepooza.
Tutaenda kiwanja kingine.
Yappp wangu! Niko salama
it is a coincidence, ukiaga Viv anatokea.
Anyways karibu huku Sisi kwa Sisi Bar & L....kuna makitu ya ukwee leo
 kwa hiyo ni same guy different ID ama?!!