Mirhea
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 815
- 1,380
Aah wapi!!nilikwambia atakupa ripot nyie si mnadhani minatania
Aah wapi!!nilikwambia atakupa ripot nyie si mnadhani minatania
mwenzio ashakula bingo. hawezi kukwambia ukweli maana anajua unaweza ukampiku. nyie wanawake hamuaminianiAah wapi!!
wewe? Huna lolote .mwenzio ashakula bingo. Hawezi kukwambia ukweli maana anajua unaweza ukampiku. Nyie wanawake hamuaminiani
unafanya vizuri kukanusha hapa maana ukisema ukweli watakuja wengi kama kunguruwewe? Huna lolote .
Jamani jamani akina dada nisetirini mwenzenu upweke huu.
Natafuta mwana jf msafi wa ukweli kwa ajili ya wikiend hii. Garama kila kitu kwangu na nakuhakikishia hautaboreka. Utakula na kudeka kwa kiwango utakacho.
Tafadhali tafadhali, nawasubirini kwa hamu kubwa.
hah ha ha ha ha, umakini ktk mapenzi ya sha sha ni upi? ni ujamii forum au ? nadhani kama unahitaji mtu makini, ni yule anayekuvutia kimwili. Nenda pale Africasana kuanzia saa 4 usiku. wote wanavutia ingawaje ni uzuri wa kununua na vipodoz. Wajamii Forum watakupa taabu. ikifika usiku muda wa mchezo, watakuambia tujiunge jamii Forum kidoga basi tupate news. Utaishia Jamii Forum kama ulivyoanzia Jamii Forum.Jamani jamani akina dada nisetirini mwenzenu upweke huu.
Natafuta mwana jf msafi wa ukweli kwa ajili ya wikiend hii. Garama kila kitu kwangu na nakuhakikishia hautaboreka. Utakula na kudeka kwa kiwango utakacho.
Tafadhali tafadhali, nawasubirini kwa hamu kubwa.
kwa nn mkuuWewe kweli hufai.
ukiona hivyo kaa pembeni weweThread za aina hii ndo zinafanya JF ionekane kijiwe cha vilaza.
najua jinsi ya kuwafiksi hawa wana jfhah ha ha ha ha, umakini ktk mapenzi ya sha sha ni upi? ni ujamii forum au ? nadhani kama unahitaji mtu makini, ni yule anayekuvutia kimwili. Nenda pale Africasana kuanzia saa 4 usiku. wote wanavutia ingawaje ni uzuri wa kununua na vipodoz. Wajamii Forum watakupa taabu. ikifika usiku muda wa mchezo, watakuambia tujiunge jamii Forum kidoga basi tupate news. Utaishia Jamii Forum kama ulivyoanzia Jamii Forum.
nataka mwanajfKona baa siku hizi wapo wa ukweli wahi kabla hizi mvua za masika haijapandisha bei......
Kama upo Arusha nitakua babilon na friends of mine baadae mida ya saa mbili njoo nikusababishie mpaka ukimbie..mwenzio ashakula bingo. hawezi kukwambia ukweli maana anajua unaweza ukampiku. nyie wanawake hamuaminiani
halahala uwe wa kike lknKama upo Arusha nitakua babilon na friends of mine baadae mida ya saa mbili njoo nikusababishie mpaka ukimbie..
Unaona ajabu sana kutolewa out na mtoto wa kike eeeh..halahala uwe wa kike lkn
Smile,kwa ma analysis we kiboko,karibu double tree hilton tule mikuku na kufakamia mihenken kwa fujo.UKIWA NA MWANAUME HUYU JUA UNAPOTEZA MDA WAKO.....
1.kukutana anataka kukupapasapapasaa tu hakujui humjui)jua hicho ni kimeo)
2.anakupigia simu eti nikufate home twende tukalale..(aliyekuambia ninausingizi nani)
3.anapenda sifa kuliko muonekano wake na sifa zake ni vitu viwili tofauti...
4.ukiwa uko nae anapenda kupigia simu watu na kuongea kwa nguvu sana nipoo na demu wangu hapa tunakula beer(jua anakutangazaa huyooo watu waje wakuchore unatembea na kimeo
usinidharau. sasa mi nitakuwepo pale ghwanzou leo jioni afu baada ya hapo klabu.. kama vipi we ibuka tusaidiane kupunguza hiki kipato
kaka nadhan ujumbe umekufikiaaaUKIWA NA MWANAUME HUYU JUA UNAPOTEZA MDA WAKO.....
1.kukutana anataka kukupapasapapasaa tu hakujui humjui)jua hicho ni kimeo)
2.anakupigia simu eti nikufate home twende tukalale..(aliyekuambia ninausingizi nani)
3.anapenda sifa kuliko muonekano wake na sifa zake ni vitu viwili tofauti...
4.ukiwa uko nae anapenda kupigia simu watu na kuongea kwa nguvu sana nipoo na demu wangu hapa tunakula beer(jua anakutangazaa huyooo watu waje wakuchore unatembea na kimeo