- Thread starter
- #21
sisi ndo mapapaa wa mujiniHana lolote huyu, ni walewale, pengine hata bill ni wewe atakutegemea ulipe, utasikia cjui atm card imemezwa, cjui nini, lol!!!
sisi ndo mapapaa wa mujiniHana lolote huyu, ni walewale, pengine hata bill ni wewe atakutegemea ulipe, utasikia cjui atm card imemezwa, cjui nini, lol!!!
hayana uhusiano na madadevid kameruni
Join Date : 16th March 2012
Mapapaaa pia matapeli vilevile..sisi ndo mapapaa wa mujini
wewe nipe pm tuelekezane. suala la fedha kwangu si hoja, tatizo sina watu wa kuitumiaMapapaaa pia matapeli vilevile..
ebu nitumie laki moja ya vocha kwa majaribiokwani ulipatwa na masahibu gani simile
kama upo siriaz sema, usifanye mzaha. sasa nitakutumia kwa njia gan. kwani humu kuna njia ya kutuma humu jfebu nitumie laki moja ya vocha kwa majaribio
Mtumie kwanza smile laki ya vocha halafu tuone kama at list u can handle the rest..wewe nipe pm tuelekezane. suala la fedha kwangu si hoja, tatizo sina watu wa kuitumia
fanya hivi nunua vocha za elfu kumi za tigo nitumie no za vochwa kwa pm fasta simu yangu bila salio la laki haibipu hata,ili tupange tukutane wapi,utaniinjoy sana tukama upo siriaz sema, usifanye mzaha. Sasa nitakutumia kwa njia gan. Kwani humu kuna njia ya kutuma humu jf
atakupa ripotMtumie kwanza smile laki ya vocha halafu tuone kama at list u can handle the rest..
naweza kutuma mpesa, tigopesa, zpesa au airtel money. vinginevyo nikupunguzie salio strait. mi huwa natumia post paid mambo ya mavocha sijayazoea na siyajui utaratibu wakefanya hivi nunua vocha za elfu kumi za tigo nitumie no za vochwa kwa pm fasta simu yangu bila salio la laki haibipu hata,ili tupange tukutane wapi,utaniinjoy sana tu
Hayo nimajukumu ya serikali. siwezi kufanya majukum ya serikali itakuwa naidekeza.Aise!! Hizo pesa unazojivunia si ungeikopesha hata serikali ijenge fly-over pale ubungo na Tazara tupunguze foleni Dar..
una uhakika unachokinenaWe mwenyewe mchafu hivyo utatoa wapi msafi? kaoge kwanza bana wewee!
we kimeo tu mwanaume mwenye hela huwa ajibishani na mwanamke hata siku moja.maana kama una hela kweli sio lazima ukwangue vocha wewe si unamtuma ata mpambe? Wewe ni wale wale oooh card ya benk imemezwa na atm machine kwenda hukonaweza kutuma mpesa, tigopesa, zpesa au airtel money. Vinginevyo nikupunguzie salio strait. Mi huwa natumia post paid mambo ya mavocha sijayazoea na siyajui utaratibu wake
nilikwambia atakupa ripot nyie si mnadhani minataniaSmile umetumiwa nini hako kalaki, mbona umepotea katika mazingira fulani ambayo hayaelewiki,lol!!
hana chochote huyo choka mbaya tu kama watanzania wenzakesmile umetumiwa nini hako kalaki, mbona umepotea katika mazingira fulani ambayo hayaelewiki,lol!!
usinidharau. sasa mi nitakuwepo pale ghwanzou leo jioni afu baada ya hapo klabu.. kama vipi we ibuka tusaidiane kupunguza hiki kipatowe kimeo tu mwanaume mwenye hela huwa ajibishani na mwanamke hata siku moja.maana kama una hela kweli sio lazima ukwangue vocha wewe si unamtuma ata mpambe? Wewe ni wale wale oooh card ya benk imemezwa na atm machine kwenda huko
nimeshakwambi leo jion njoo pale tusaidiane matumbuzihana chochote huyo choka mbaya tu kama watanzania wenzake