Ijumaa ndo hiyooo.........cheki hapa!

mitishamba

JF-Expert Member
Dec 21, 2011
697
111
Wakuu,
Hayawi hayawi yamekuwa,
Ijumaa ndo imewadia,
Na kwa kuwa wikiend hii imenikuta nikiwa huku ugenini,
basi leo natarajia kuwemo ndani ya Hotel de Continental,
Pale kwenye kanga moko.....
Mwana jf/mmu yeyote anayetarajia kuwepo pale leo basi anicheki kwa pm kuanzia sasa,
Mwisho wa pm ni 20h00 leo.
Karibuni sana watumishi wa bwana.
 
Wakuu,
Hayawi hayawi yamekuwa,
Ijumaa ndo imewadia,
Na kwa kuwa wikiend hii imenikuta nikiwa huku ugenini,
basi leo natarajia kuwemo ndani ya Hotel de Continental,
Pale kwenye kanga moko.....
Mwana jf/mmu yeyote anayetarajia kuwepo pale leo basi anicheki kwa pm kuanzia sasa,
Mwisho wa pm ni 20h00 leo.
Karibuni sana watumishi wa bwana.

Duu haya bana kanga moko....kweli tuje??/
 
Ndio wapi huko...........Mie niko huku Kazimzumbwi aisee.................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom