Kumbuka pia Yesu mwana wa mungu aliteswa siku ya Friday.....hii siku nuksi nini!!
Why Friday.
1. Watu wanatoroka kazini mapema
2. Watu wanatumia pesa nyingi kwa mambo ya anasa
3. Watu wengi wanarudi majumbani kwao the next day - yaani kuanzia saa sita na dk 1 onwards.....
4. Memo nyingi za warning au kufukuzwa kazi zinatolewa Friday
5. Watu wengi wanaambukiwa ukimwi siku ya Friday
6. Madeni mengi hayalipwi Friday
7. Simu nyingi za viganjani zinafugwa siku ya Friday jioni - tusitafutane
8. Nguruwe wengi wanakata roho siku ya Friday
9. Machangu wengi wanapata pesa siku ya Friday
10. Watu wengi wanaibiwa siku ya Friday, hasa pesa, laptops nk
Umesahau na kipenzi cha wengi,Suicide Bombing!Leo watu wameua LAHORE Pakistan,baada ya swala