MikwanjaMirefu
Member
- Dec 30, 2015
- 73
- 46
Duuh
Embu tupe hizo mbinu.mie ninaye kiboko ya mapepo wala siyaogopi..yakitaka kunidhuru yanakutana na moto au maji...
Ulikosa jina la kutolea mfano mpaka ukatumia ALLY? umeniudhi sana leo!!
mkuu Ally mbona umepanic Sana?
Hahaha nimecheka du!Ulikosa jina la kutolea mfano mpaka ukatumia ALLY? umeniudhi sana leo!!!!
NimtihaniKaka kama unauza unga wa huo mti nafadhali niambie naupata kwa bei gani. MziziMkavu
Kwahio unampango ganiKumbe ndo maana sisi we ye huruma twafilisikaa eeee?
Upo sawaInabidi tuombe tuwe na jukwaa la utamaduni/mazingara naona hii ni zaidi ya intelligence. Modes wawe ni mshana jr na MziziMkavu
Haha unajihamiNdo kazi kweikwei, asante kwa kutuelimisha, nikienda kijijini najiandaa na noti za 500 au 1,000 tu.
Poleni sanaKumbe wana urambo hatuko nyuma
Ndio maana Mzee Sitta akija huko anajiita CHUMA CHA PUAKumbe wana urambo hatuko nyuma
ungempa hiyo jero alafu ukamwambia akatafute chenji....kuna ukweli ..mimi ni mzaliwa wa kigoma...baba yangu mzazi aliwahi nionya akaniambia nisimpe mtu sarafu akiniomba nimpe noti kama sina noti basi nisimpe....cku moja akanijia mdada akionekana ana sura ya shida kabisa akaniomba nimsaidie sh. 200 ..m nikampa sh 500 ya noti...ajabu yule dada akakataa akasema ana shida ya 200 tu....nikakumbuka onyo nililopewa na mzazi...cjui ningekuaje leo
mbavu zang mieeUlikosa jina la kutolea mfano mpaka ukatumia ALLY? umeniudhi sana leo!!!!
Huo mti ukiupaka unaona wachawi unaitwaje?
Jina la Mti huwezi kuupata mpak utoe pesa ndipo upatiwe hiyo dawaTupate jina la mti tuusage wengine tuwe tunajipaka kama enjofesi........
MziziMkavu.......jina la mti ni lipi.......?....