Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Ingia kwenye klhnews.com ninajaribu kuwaletea burudani live..! ndio maana niko bored...
Hivi mnafikiri bila ufisadi Tanzania ingekuwa hapa ilipo? Umeona majumba Tabata huko (ukiondoa vijumba vilivyobomolewa), au Mikocheni, au kule "ng'ambo" (Kigamboni). Licha ya ubaya wao lakini mafisadi wameijenga nchi na kama kuijenga nchi ni ufisadi basi na miye kuwadi!
asante.
Ingia kwenye klhnews.com ninajaribu kuwaletea burudani live..! ndio maana niko bored...
Ebwana kila nibonyeza hapo kwa Henry sipati kitu. Zile zingine zote zinafunguka except Henry...
We achana na mambo ya ufisadi bwana, ufisadi ufisadi, watu washachoka, wameshakubali hali halisi sijui wewe unalalamika nini. Mafisadi walikuwepo na wataendelea kuwapo, jifunze kuishi nao. Kwani hao mafisadi siyo watanzania? Tena wenzako siku hizi wakiitwa "fisadi" wanaona kama promosheni ya aina fulani hivi!
Fisadi ni watu kama sisi na wengine ni jamaa zetu na wengine kwa kutumia ufisadi wao wameweza kufanya mambo mengi tu kwa jamii kama kutoa ajira, misaada, mikopo n.k Hivyo siyo mafisadi wote wabaya!
Asante.
Hivi mnafikiri bila ufisadi Tanzania ingekuwa hapa ilipo? Umeona majumba Tabata huko (ukiondoa vijumba vilivyobomolewa), au Mikocheni, au kule "ng'ambo" (Kigamboni). Licha ya ubaya wao lakini mafisadi wameijenga nchi na kama kuijenga nchi ni ufisadi basi na miye kuwadi!
asante.
CHONDE CHONDE MLLHOI....LUGHA !JAMANI TUNAOSOMA HUMU NI WENGI.....WATOTO,WAZAZI,WAZEE,NK....TUJARIBU KUFICHA UP.....WETU NA SI HEKIMA ZETU...! JUST IMAGINE YOUR MOM...DAD OR YOUR KID AFTER YOU HAVE DONE YOUR WORK(UMEANDIKA HAYO MANENO YAKO) BAHATI UKATOKA KIDOGO HALAFU YEYE AKACHUNGULIA ULICHOANDIKA......ITS SHAME ACTUALLY.......!
BASI TUSIWAFANYIE HIVYO....MOM....DAD...OR KIDS OF OTHERS......LUGHA IPUNGUE UKALI....!
Huu wako sio UKIMWI bali UFIBU (Upungufu wa Fikra za Busara Ubongoni).Mbona UKIMWI umekuwepo kwa zaidi ya mwongo mmoja sasa,na tiba haijapatikana,lakini mapambano yanaendelea?Naposoma utetezi wako nashawishika kuamini,ashakum si matusi,kuwa WEWE NI NYUMBA NDOGO ya FISADI flani.Si bure!!!!
kuna mtu aliandika kuwa ufisadi siku hizi imekuwa sifa. lakini mwanakijiji anajitokeza na shairi la kumkumbuka mwalimu wake (akuzingumzia ufissdi) hoja inageuka kuwa ufisadi. hawajali tena hoja ya mwanakijiji kwua anamkumbuka mwalimu wake.
wengine wanakwenda mbali zaidi na kuanza kumjadili wmanakijiji mwenyewe na si hoja aliyoitoa. Inaonekana kuwa watu wanaishia kusoma jina la mchangiaji tu na anapoona ni yule mbaya wake, hata alichoandika hasomi tena. inashangaza kuwa watu wengine wanahoji wka nini mwanakijiji anamshukuru kila mtu unapofanyiwa jambo linalokufurahisha, au jambo jema, unatakiwa kuwa mwoga wa kushukuru?
kama kuna aliyeamua kuwa fisadi, ajue tu moto huu uliowaka hautazimika, youe days are numbered.
tumenyonywa kiasi cha kutosha, tumenyanyaswa kiasi cha kutosha, tumedhalilishwa kiasi cha kutosha. zamu yenu inakuja