Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
safi sana mkuu! tatizo kubwa ni elimu kwa baadhi ya watz,uelewa wa wananchi mdogo sana !
safi sana mkuu! tatizo kubwa ni elimu kwa baadhi ya watz,uelewa wa wananchi mdogo sana !
unaandika mipasho sana kama unaingiliwa kinyume na umbileInauma eeeeeehhh.
kwikwikwiiiiiiiiiNi kweli hasa kama wizi wa wazi umefanywa kwa shinikizo la serikali kama ya leo
unaandika mipasho sana kama unaingiliwa kinyume na umbile
Wewe unachekelea udhalimu unaona ni busara sana.Yapeleke pale KINONDONI MAKAO MAKUU YA CDM
Loo! na wewe ni GREAT THINKER!!!!Saidia familia yako ile, ivae, isome, na ilale pazuri mawazo mbonyeo hayatasadia, lawama mlaumu aliyekuleta duniani siasa haikusaidii, ni maneno tu haya hata ukikata mdomo yatabakikatika mawazo
heeee, itawezekanaje cuf mwaka jana (juzi tu uchaguzi mkuu) wapate zaidi ya kura 10000 halafu leo kura 2000??
There is a fishy game there between ccm and cuf.
Hapa kura za cuf zimenunuliwa na ccm.
Any way, cdm imepata ushindi hata kama haijapewa jimbo.
Mungu yupo, inshalah tutachukuwa jimbo next time kama tulivyochukua biharamulo.
Craaaaaaaaaaaaaaaaap ww ni CDM hakuna kitu na uchungu wa kushindwa !
Sioni ajabu maana ukiwa magamba kitu cha kwanza unakuwa mwehu. Tunakuvumilia kwa wehu wako. Maana wewe ulipo tu umeshindwa. Huwezi endesha nchi hii sasa nani aliyeshindwa? Pigo mlilopata Igunga bado litayumbisha chama chenu. Lakini usivyokuwa na akili unakenua meno hapa.Craaaaaaaaaaaaaaaaap ww ni CDM hakuna kitu na uchungu wa kushindwa !
You have point!! Lakini tutayapeleka wapi haya malalamiko yako, zaidi ni kuyadocument na kusubiri muda mwafaka ili tuweze kupeana adabu. The whole system in our country is corrupt hivyo kwa sasa kazi moja kubwa ni katiba mama iandikwe upya before the next election.