Sisi waislam tunamatatizo sana tatizo wengi wetu tumeishia darasa la pili kwani uislam ni mavazi au ni jina na matendo ya mtu, kuna mademu wangapi wanaovaa hijabu na tena wameolewa wanakuja kwenye mageto yetu tunawapa mambo, tena ni rahisi kuwapata kuliko hata yule aliyevaa mini
Kwa stahili hi viongozi wetu walioishia darasa la pili wanatufanya waislam kuwa na fikra finyu na maisha magumu,badala wahamasishe mandamano ya kuchangia ujenzi wa mashule, hospitali, vyuo, na kujenga vitega uchumi vingine na kuhamasisha waislam tusome tusikazanie madrasa tu wao wamekalia kulalamika tu kwani mtu akivaa hijabu harafu akafanya uharifu then watu wakamkamata ni dhambi kisa kavaa hijabu?
Kanzu, hijabu ni vazi la kawaida sana mana huko palestina watu wanavaa kama vazi 2 na wanaenda kuiba kwenye mabenki au wanafanyia umalaya,swala ni moyo wa mtu na matendo yake, tusitumia mavazi kufichia uharifu,ndugu zangu waislam tuwakemee hawa viongozi wetu mana hawana akili yoyote ya kuleta maendeleo kwenye jamii yetu ndiyo mana hata sadaka huwa hatutoi mana zinaliwa na masheikh akili ya kufanya maendeleo hawana wamekalia kulalamika tu.
Kwa staili hi wenzetu wakristo wataendelee kuwa juu mana wamesoma na wanamipango mambo ya ajabu ajabu huiwezi kuwaona wanayafanya sijui mandamano ya kulalamika hakuna, tujifunze kwao wanavyojibidisha na kufanya kazi,siyo sisi kulalamika tu na kuwasema ovyo kuwa wao ni makafiri ila mwisho wa siku watoto wetu tunawapeleka kwenye mashule yao kwenda kusoma sisi wenyewe tunaenda kutibiwa kwenye mahospitali yao uwe sheikh usiwe sheikh wote tunakwenda, hii ni aibu tubadilikeni jamani ni aibu sana.
Nimesoma kwenye chuo kimoja maarufu hapa Tanzania masters, kati ya wanafunzi 120, muislam nilikuwa peke yangu the rest ni wakristo, hii ni jinsi gani inavyoonyesha jinsi tulivyonyuma, ukiangalia hata viongozi wao wadini ni watu waliosoma tena elimu kubwa kama PHD yani ni doctors thus why wanauwezo wa kufikiri sana na kuwafanyia watu wao maendeleo.
Tubadilike ndugu zangu,viongozi wangu wa kiislam,tuache kukaa kulalamika na kunywa kahawa tu na kucheza bao wenzetu wakristo wapo mbali sana kimaendeleo sisi tunamaisha magumu hatutaki kujishughurisha angalia maeneo hata tunayokaa yaliyochoka.
Kilagira, Vingunguti, Masenze, mbagala mtongani kwa AZIZ Ally,Temeke, ukienda maeneo kama kawe, ubungo, mbezi, mikocheni, makongo juu, masaki huko utawakuta wakristo tu wakiishi vizuri, ukimkuta muislam basi mwarabu au mwenzangu na mimi aliyekazana kusoma.
Hata ukienda mikoani hivyo hivyo maeneo mabaya ndiyo tumejaa sisi, tusome jamani na kufanya kazi kwa bidii tuache kutumika na hawa masheikh darasa la pili sasa hivi hakuna ujanja ujanja kwenye maisha sijui ntaenda Bagamoyo kwa mganga nitoke kimaisha hiyo hakuna sasa hivi akili kwenye kichwa tu.
Kwa stahili hi viongozi wetu walioishia darasa la pili wanatufanya waislam kuwa na fikra finyu na maisha magumu,badala wahamasishe mandamano ya kuchangia ujenzi wa mashule, hospitali, vyuo, na kujenga vitega uchumi vingine na kuhamasisha waislam tusome tusikazanie madrasa tu wao wamekalia kulalamika tu kwani mtu akivaa hijabu harafu akafanya uharifu then watu wakamkamata ni dhambi kisa kavaa hijabu?
Kanzu, hijabu ni vazi la kawaida sana mana huko palestina watu wanavaa kama vazi 2 na wanaenda kuiba kwenye mabenki au wanafanyia umalaya,swala ni moyo wa mtu na matendo yake, tusitumia mavazi kufichia uharifu,ndugu zangu waislam tuwakemee hawa viongozi wetu mana hawana akili yoyote ya kuleta maendeleo kwenye jamii yetu ndiyo mana hata sadaka huwa hatutoi mana zinaliwa na masheikh akili ya kufanya maendeleo hawana wamekalia kulalamika tu.
Kwa staili hi wenzetu wakristo wataendelee kuwa juu mana wamesoma na wanamipango mambo ya ajabu ajabu huiwezi kuwaona wanayafanya sijui mandamano ya kulalamika hakuna, tujifunze kwao wanavyojibidisha na kufanya kazi,siyo sisi kulalamika tu na kuwasema ovyo kuwa wao ni makafiri ila mwisho wa siku watoto wetu tunawapeleka kwenye mashule yao kwenda kusoma sisi wenyewe tunaenda kutibiwa kwenye mahospitali yao uwe sheikh usiwe sheikh wote tunakwenda, hii ni aibu tubadilikeni jamani ni aibu sana.
Nimesoma kwenye chuo kimoja maarufu hapa Tanzania masters, kati ya wanafunzi 120, muislam nilikuwa peke yangu the rest ni wakristo, hii ni jinsi gani inavyoonyesha jinsi tulivyonyuma, ukiangalia hata viongozi wao wadini ni watu waliosoma tena elimu kubwa kama PHD yani ni doctors thus why wanauwezo wa kufikiri sana na kuwafanyia watu wao maendeleo.
Tubadilike ndugu zangu,viongozi wangu wa kiislam,tuache kukaa kulalamika na kunywa kahawa tu na kucheza bao wenzetu wakristo wapo mbali sana kimaendeleo sisi tunamaisha magumu hatutaki kujishughurisha angalia maeneo hata tunayokaa yaliyochoka.
Kilagira, Vingunguti, Masenze, mbagala mtongani kwa AZIZ Ally,Temeke, ukienda maeneo kama kawe, ubungo, mbezi, mikocheni, makongo juu, masaki huko utawakuta wakristo tu wakiishi vizuri, ukimkuta muislam basi mwarabu au mwenzangu na mimi aliyekazana kusoma.
Hata ukienda mikoani hivyo hivyo maeneo mabaya ndiyo tumejaa sisi, tusome jamani na kufanya kazi kwa bidii tuache kutumika na hawa masheikh darasa la pili sasa hivi hakuna ujanja ujanja kwenye maisha sijui ntaenda Bagamoyo kwa mganga nitoke kimaisha hiyo hakuna sasa hivi akili kwenye kichwa tu.