Ney wa Barca
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 310
- 36
hawa jamaa wana laana, wamechakachua fedha za walipa kodi, haikutosha sasa wanachakachua hadi ndoa za watu hawafai kabisa hawa, badala ya kuwaza namna ya kuwanasua wananchi katika dimbwi la umasikani wanawaza ngono tu!